Hivi guys, hii hali huwa inasababishwa na nini?

Nina uzoefu mdogo na mabinti wavuta bangi, wako free na halisi mno.
Na huwa hawapendi kupelekeshwa, only convicing power ndio huwaweza not kuwafosi.
Lakini wanaudhaifu flani kule kwa wakubwa.
hata mie najiulizaga nina nini kwenye huu ubongo!!
 
Nina uzoefu mdogo na mabinti wavuta bangi, wako free na halisi mno.
Na huwa hawapendi kupelekeshwa, only convicing power ndio huwaweza not kuwafosi.
Lakini wanaudhaifu flani kule kwa wakubwa.
Eti mabinti wavuta bangi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Udhaifu upi kule kwa wakubwa?
 
we solve almost everything with prayers
Prayer?
"Prayers works like Placebos πŸ˜ƒ", says Titicomb .

"The placebo effect is a way for your brain to tell the body what it needs to feel better," says Kaptchuk.

"Placebos may make you feel better, but they will not cure you," says Kaptchuk.

"They have been shown to be most effective for conditions like pain management, stress-related insomnia, and cancer treatment side effects like fatigue and nausea.", says Kaptchuk.
 
Boredom comes from a boring mind. When people are bored, it is primarily with their own selves that they are bored.
Nilitaka kujibu kitu kama hiki, lakini nikaona kama nitakosa heshima hivi.

Mtu creative anaweza kufanya mambo mengi interesting, hata kwenye sehemu ambayo hakutarajiwa.

Mimi nafanya kazi kutoka nyumbani tangu March, lakini wala sioni kwamba nyumbani pamenichosha.

Kwa sababu kati ya kazi, movies, documentaries, vitabu, kujifunza computer programming, kujifunza kupiga nyimbo mpya kwenye piano, JF, ku organise data kwenyeNAS na servers zangu, muziki, online shopping, kufanya mazoezi, kuwajulia hali familia, etc, hivi naanza wapi kuwa bored?

Siwezi kuwa bored, tatizo langu sina muda wa kufanya kila ninalotaka.

Ila nakubali kwamba watu wote hatuko sawa.
 
Nikitaka kujibu kitu kama hiki, lakini nikaona kama nitakosa heshima hivi.

Mtu creative anaweza kufanya mambo mengi interesting, hata kwenye sehemu ambayo hakutarajiwa.

Mimi nafanya kazi kutoka nyumbani tangu March, lakini wala sioni kwamba nyumbani pamenichosha.

Kwa sababu kati ya kazi, movies, documentaries, vitabu, kujifunza computer programming, kujifunza kupiga nyimbo mpya kwenye piano, JF, ku organise data kwenyeNAS na servers zangu, muziki, online shopping, kufanya mazoezi, kuwajukia hali familia, etc, hivi naanza wapi kuwa bored?

Siwezi kuwa bored, tatizo langu sina muda wa kufanya kila ninalotaka.

Ila nakubqmali kwamba watu wote hatuko sawa.
I second this
 
Prayer?
"Prayers works like Placebos ", says Titicomb .

"The placebo effect is a way for your brain to tell the body what it needs to feel better," says Kaptchuk.

"Placebos may make you feel better, but they will not cure you," says Kaptchuk.

"They have been shown to be most effective for conditions like pain management, stress-related insomnia, and cancer treatment side effects like fatigue and nausea.", says Kaptchuk.
It depends brother

I'm not one of those who pray regulary but i believe in the strength of prayers.

There was a time nilikuwa deep na naweza kulinganisha na siku nilipotumia akili na nguvu zangu mwenyewe.. Najua difference

But i still respect where you stand, Naelewa hakuna nature wala existence without diversity so, its understandable
 
It depends brother

I'm not one of those who pray regulary but i believe in the strength of prayers.

There was a time nilikuwa deep na naweza kulinganisha na siku nilipotumia akili na nguvu zangu mwenyewe.. Najua difference

But i still respect where you stand, Naelewa hakuna nature wala existence without diversity so, its understandable
Mimi nimekupata vizuri sana.
Pale ulinigusa sana..Nilikuwa nakazia tu hoja yako.
Kwamba naona sala siyo tiba(suluhisho) ya kila changamoto zinazotukabili, kuna sehemu zipo njia sahihi zaidi ya sala.

Sala ni kama kitu cha kuleta faraja tu kwa mtu aliye kata tamaa au aliyekosa majibu, ni vile anamrushia mzigo Mungu.

Umepiga mulemule brother kuhusu tabia zetu waafrika wengi..πŸ˜€

Sisemi kwamba sala siyo muhimu Bali siyo kila tatizo linatatuliwa na sala wakati Mungu katupa akili, nguvu na maarifa ya kutatulia matatizo yetu.
 
Mimi nimekupata vizuri sana.
Pale ulinigusa sana..Nilikuwa nakazia tu hoja yako.
Kwamba naona sala siyo tiba(suluhisho) ya kila changamoto zinazotukabili, kuna sehemu zipo njia sahihi zaidi ya sala.

Sala ni kama kitu cha kuleta faraja tu kwa mtu aliye kata tamaa au aliyekosa majibu, ni vile anamrushia mzigo Mungu.

Umepiga mulemule brother kuhusu tabia zetu waafrika wengi..

Sisemi kwamba sala siyo muhimu Bali siyo kila tatizo linatatuliwa na sala wakati Mungu katupa akili, nguvu na maarifa ya kutatulia matatizo yetu.

nimekusoma zaidi hapa

Ni kweli tunakimbia sana uhalisia kwa kujificha kwenye mgongo wa sala na kuamini katika Mungu lakini kiuhalisia Kwa kiasi flani hatukuumbwa kuwa tegemezi kwa kila kitu

Kuna situations zinahitaji suluhisho la nguvu na akili zetu wenyewe ila unamuweka Mungu mbele ili kupunguza hofu ya risk unayotaka kuchukua

Hata Bible mara nyingi imekemea uvivu, imekemea kutokujishughulisha na mara nyingi tu imeonesha uthubutu wa watu binafsi kwanza kama solution huku wakimuweka Mungu mbele

Sasa siku hizi utaskia "Pokea gari, pokea nyumba, Pokea cheo kazini, Pokea mchumba". Jirani yako au shangazi ndio sababu hufanikiwi..

Kitu ambacho si sawa na watu wanapenda sababu unamtwisha mtu mizigo yako ili kuepuka uhalisia na responsibility yako kutoka ulipo
 
Back
Top Bottom