Rutunga M JF-Expert Member Mar 16, 2009 1,769 1,382 Jul 18, 2016 #1 Naomba kujua kama mtu anataka kusoma degree kupitia chuo kikuu huria hivi kigezo cha kuwa na GPA ya 3.5 inahusika nako au la?. Asante
Naomba kujua kama mtu anataka kusoma degree kupitia chuo kikuu huria hivi kigezo cha kuwa na GPA ya 3.5 inahusika nako au la?. Asante
mwanadome JF-Expert Member Jul 29, 2015 4,912 5,255 Jul 18, 2016 #4 ikiwa out inatambuliwa na tcu basi vigezo ni vilevileeeeeeeeee
Mad Max JF-Expert Member Oct 21, 2010 19,036 49,640 Jul 18, 2016 #6 Hapa dawa ni kupiga diploma ya Pili
Yugu JF-Expert Member Dec 18, 2014 1,080 327 Jul 18, 2016 #8 kama ulikua na sifa kabla ya zama hizi na ulizikalia sasa ndo utaisoma namba vizuri
MTAZAMO JF-Expert Member Feb 8, 2011 19,643 33,427 Jul 18, 2016 #9 Mad Max said: Hapa dawa ni kupiga diploma ya Pili Click to expand... Hahaha ...