hivi godbless lema aliomba mwongozo au alimtuhumu waziri mkuu??

WANAOTOA UAMUZI NI HAO HAO CCM. Je, wanaweza kukubali kuwa PM kasema uongo?
Well, mimi nafikiria Lema asijiingize kwenye mtego mbovu ila aeleze wazi kuwa alikuwa anaomba mwongozo tu na si vinginevyo. Pia sehemu ya pili anaweza kueleza wazi kuwa alikuwepo kwenye tukio na mambo yalienda hivi na vile..... kwani kweli PM amedanganya aliposema kuwa maandamano yalizuiwa baada ya Chadema kutumia zaidi ya njia moja kuandamana wakati taarifa za kiintelijensia ndo zilivunja maandamano.

Yangu macho. Hivi kama Mh Lema akipeleka ushahidi unaoonyesha dhahiri kuwa PM kadanganya...Speaker atamchkulia hatua gani PM?
 
Naomba muongozo: kama wote jamii forums ni wajinga,nifanye nini?
Je hapa nimesema kuwa wote JF ni wajinga!?
Katika hili inategemea unamuuliza nani............. Kama ni Anna Makinda atasema anakupa siku 5 ulete ushahidi..........lakini kama ni mimi ........... nitakupa nini cha kufanya endapo kama wana-JF ni wajinga.

Nilivyomsoma mama huyu ni kuwa pengine hajui maana ya neno .... KAMA... kwenye maelezo ya G. Lema (MP).
 
Mtafutieni mume, bila hivyo mtabaki kulaumu utendaji kazi wake. Maana ametawaliwa na jazba, hasira na pia anataka kuonyesha kuwa yeye ni mwananke.
 
Duh, huyu angeolewa na MBEBA ZEGE AU YULE MUIGIZAJI, nanii, mmh mmh, JB... qwi qwi qwi h, angerekebishwa!
 
je ikithibitika pinda alidanganya ndipo speaker atatoa mwongozo au mtaendelea kuchakachua?

Shauri lipo mahakamani na ndio itakayo toa hukumu dhidi ya tuhuma za cdm ambazo PM aliziwasilisha bungeni kama zilivyo.
sasa huy lema ataleta ushahidi gani unadhani?
 
Upande wa CCM sasa hivi bungeni hakuna hata mtu mwenye busara anayeweza kuona mambo nje ya pazia la ushabiki wa ki-CCM. Akina Sitta na Malecela walikuwa wakati mwingine wanawaweka sawa wabunge wengine wa CCM na kuwaelekeza kwenye utaifa zaidi ya ushabiki. Sasa hivi ndani ya lile bunge CCM inawakilishwa na watu wasiokuwa na busara tu, ukianzia na spika wao, labda sijui Mama Kilango na yule mbunge mwingine wa Singida. Kwa vile wao CCM ndio wengi basi tujiandae sana kusikia ngonjera za taarabu toka mjengoni humo mpaka masikio yatuume,
 
Niliona kipande cha hoja ya Godbless Lema kwa kweli alitaka mwongozo lakini Anna Makinda akachukulia kuwa amesema kuwa Ndugu Lema amemtuhumu Pinda kudanganya na kudai lazima kuwa na adabu kwa viongozi wa serikali. Hii ni ajabu kwani mbunge ana haki ya kupata mwongozo. Ni kweli watu wanatakiwa kuheshimiana lakini kusema kuwa wabunge ni lazima wawe na adabu kwa viongozi wa serikali si sawa hata kidogo. Kwani hivyo ni sawa na kubadilisha bunge kuwa kama nyumbani kwa mtu ambapo watoto wanatakiwa si tu kuwaheshimu wazazi wao bali pia ni lazima watii bila maswali yale yote wanayoambiwa na wazazi wao. Hivyo Makinda ndiye mwenye makosa na Ndugu Lema anatakiwa kwanza kueleza kutoeleweka kwa hoja yake kulikofanywa na Spika Makinda na pili kujenga hoja kuonyesha jinsi ambavyo Pinda aliidanganya mbaga ya Watanzania na Bunge lao.
 
Kuomba muongozo ni jambo la kwanza lakini ndani ya huo mwongozo unaweza ukatukana, ukakashfu, ukadhalilisha nk.
Lema aliomba muongozo kuwa mtu kama PM anapo lidanganya bunge, mbunge achukue hatua gani?, kitendo cha kusema PM kadanganya bunge ni kizito na lazima kithibitishwe kwanza sasa tatizo ni nini?.
Mwenyewe amekiri na amesema atapeleka huo ushahidi ninyi wasi wasi wenu nini?

ww wa wapi? Yule ni mwakilsh wa shughul za sirikali bungeni,sasa kama mtu aliyekuwepo katka vurugu na aliyeletewa taarifa ni yupi ataueleza umma wa watanzania ukwel ukiachilia mbal vyeo vyao. Ripoti aliyosoma pm imeandkwa kuitakasa sirikali na chama kilichopo madarakani, sasa kama ndo ivo inamana wanapotosha hali halisi(ukweli).na G Lema c mbunge wa Mtwara au lindi useme atazungumza asichokijua.PM ni mtu kama sisi ila kama kazungumza tofauti,inabd sheria tujue inamuhukum vp.
 
Back
Top Bottom