Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Nimesikitishwa sana na taarifa za zaidi ya wanafunzi 4000 kukosa mikopo kwa ajili ya kugharamia elimu yao ya juu.Nii wazi kuwa watoto wa maskini wa nchii hii(umasikini ambao msingi wake ni ufisadi) watashindwa kwenda vyuoni na wachache tu ndio watamudu kujigharamia.
Hivi nini kiwe kipaumbele kati ya elimu na mambo haya linapokuja swala la bajeti
1.Safari za raisi
2.Magari ya kifahari
3.Posho kubwa kupindukia ktk vikao vya bodi mbali mbali,kamati za bunge na sitting allowance nyinginezo
4.Safari za mara kwa mara za watendaji wakuu serikalini
5.Bajeti kubwa za chai na vitafunwa serikalini mfano ikulu.
6.Na anasa nyingine nyingi tu zinazotengewa mabilioni serikalini
Hii serikali yetu isiyo na vipaumbele ni cancer inayotafuna maskini wengi wa nchii hii.
Tunahitaji kujikomboa.
Hivi nini kiwe kipaumbele kati ya elimu na mambo haya linapokuja swala la bajeti
1.Safari za raisi
2.Magari ya kifahari
3.Posho kubwa kupindukia ktk vikao vya bodi mbali mbali,kamati za bunge na sitting allowance nyinginezo
4.Safari za mara kwa mara za watendaji wakuu serikalini
5.Bajeti kubwa za chai na vitafunwa serikalini mfano ikulu.
6.Na anasa nyingine nyingi tu zinazotengewa mabilioni serikalini
Hii serikali yetu isiyo na vipaumbele ni cancer inayotafuna maskini wengi wa nchii hii.
Tunahitaji kujikomboa.