Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
<br />Mkuu nadhani unakumbuka uongo tuliozusha kuhusu Idd Amin mpaka leo watu wakisikia jina hilo wanaogopa. Jamaa anaitwa nduli na majina mengi kutokana na propaganda, lakini ukweli ni kwamba hakuwa mbaya kuliko Obote. Tumesikia kuwa TNC wanaongopa so inawezekana hii ni propaganda dhidi ya Gaddafi, inawezekana pia ni kweli na inawezekana pia kuwa si kweli. kwanini wasiseme kabla ya hapo?
<br />
jamaa alikuwa mbabe. Walihofia kuweka rehani maisha yao.