Hivi GADAFFI amefanya kosa gani? Kwa Wa-Libya,Afrika na Dunia

An armed rebel fighter kicks a soccer ball near Gadhafi's Bab al-Aziziya compound as it is engulfed in flames on Aug. 23.

ss-110824-libya-02.photoblog900.jpg
 
wote mnaosema Gaddafi ameondolewa na wananchi wa Libya aidha ni waongo au hamjui mnachosema.
Atakapokuwa ameondoka na NATO wanapatrol mitaa ndo watu/walibiya watajua kuwa walikuwa chambo tu kwa western interests. Things wont be the same for Libyans and Libya streets.
 
Heri miaka 42 ya utawala wa Ghadafi, kuliko miaka 10 ya JK. Kikwete has devastated our country completely.

Tanzania haina rebels??
 
Kosa la Gaddafi, ni<br />
1. kung'ang'ania madaraka baada ya raia wa Libya kuuchoka uongozi wake.<br />
<br />
2. Kuwaita waliompinga ni mende na kunguni, na kutoa wito kwa majeshi yake kuwaangamiza.<br />
<br />
3. kushindwa kuheshimu sauti na maoni ya wananchi wa liblya ya kuwa na uchaguzi utakaotoa fursa kwa walibya kuchagua viongozi wawapendao.<br />
<br />
KAMA ANGEKUWA KIONGOZI WA WATU, ANGEANDAA MCHAKATO WA KUFANYA UCHAGUZI HURU, AMBAPO KAMA ANGEHITAJI KUENDELEA KUONGOZA LIBYA, BASI KURA ZA WANANCHI WAKE ZINGEAMUA. KI<br />
<br />
KITENDO CHA YEYE KUKATAA MAPENDEKEZO YA WATU WAKE, KUONESHA NIA YA KUMWACHIA MADARAKA MWANAE NA KUWAITA WATU WANAOTAKA MABADILIKO NI MENDE NA KUNGUNI KUNATOSHA KUMWITA YEYE NI DIKTETA means ANT DEMOCRATIC.<br />
<br />
HATA HIVYO SIKUBALIANI NA NCHI ZA KIGENI KUTUMA MAJESHI YAO, WANGEWAACHA WALIBYA WENYEWE WAFIKIE MABADILIKO WANAYOYAHITAJI BILA KUSAIDIWA NA WAGENI HARAMU. SIKU ZOTE MAENDELEO NI INTERNAL PROCESSES NA SIO EXTERNAL PROCESSES. WALIBYA WANA HATARI YA KUTOMUDU KUIONGOZA LIBYA BAADA YA GADDAF KWA KUWA WAMEMOUNDOA KWA MSAADA WA WAGENI, WAVAMIZI.
<br />
<br />
je kikwete ambaye ni mtu wa watu kafanya kitu gani zaidi ya kutuzingua..
 
I too am feeling a little sorry for Colonel Gaddafi, what has he done to deserve having his sovereign country
bombed by a bunch of bully-boy nations who use democracy and humanitarianism as an excuse to seize control
of the world? The people in Libya are freedom fighter, not rebels.
 
what good have Libyans got out of this war? Deaths? Destruction of infrastructure? Deafs and disabled? Fires?
Wandugu muwe na huruma...NATO and rebels are as terrorists as Al Qaeda they pretend to hate. Especially Obama whose country denies that Nato is doing all these cruel things. Yes, uk have made it clear that Nato is hunting Ghaddaffi but poor hypocrit Obama! He says no.
God is alive and will repay you all who have shed innocent blood in Libya!
 
  • Thanks
Reactions: Ami
amerika ndo wanaamua nani yuko right or wrong.... Sasa naona binadamu tunasaidiwa kufikiri... Jamaa wanapiga libya kwa maslahi yao kiuchumi na wanaitumia dunia kuwapa moral support kupitia runinga zao... Kwa mfano vurugu za london juzi ingekua ni katika nchi ya africa wangeita freedom fighters, au watu waliochoshwa na serikali mbovu, but kwa kua ni uingereza wakawaita looters na hooligans... binadamu tuwe na fikra huru... Kuilazimisha dunia kua na utamaduni mmoja si sahihi. wakimchoka muswati watamchapa,wakigundua zimbabwe kuna maslah kiuchumi watamchapa mugabe, wakimchoka museveni watamchapa... cha msingi tusishabikie uonevu, tuwe na fikra huru kugundua kipi ni sahihi na kipi si sahihi... TUNASAIDIWA KUFIKIRI.
 
Gadafi ni jambazi kichaa anaeweza kuua muda wowote kwa sababu za kijinga kabisa. Liliwahi kuleta askari wake kutuua watanzania eti kwa kuwa idd amini ni muislamu mwenzake! ***** wacha walikate kichwa! Sasa angalia ujinga wake ndio unammaliza!
 
Naomba wenye kujua siasa za Libya,wanijuze hutyu jama hivi leo CNN,BBC nk wanamuita Dikteta amefanya makosa yapi hadi amepigwe kiasi hiki.
naomba majibu kama matatu ambayo yanafanya asitahili anachopata hivi sasa.

Makosa ya Gadafi ni sawa na makosa anayofanya JK kuwadhulumu walipa kodi wa nchi hii haki yao, kushirikiana na wageni kupora rasilimali za nchi hii, Kujilipa mwenyewe makampuni yake ya siri kama Dowans, kuwalinda Mafisadi wenzake, Mkapa , EL, Chenge, RA na kuwalea wauza unga. Need I say more ..... .... . ..
 
Gadafi ni jambazi kichaa anaeweza kuua muda wowote kwa sababu za kijinga kabisa. Liliwahi kuleta askari wake kutuua watanzania eti kwa kuwa idd amini ni muislamu mwenzake! ***** wacha walikate kichwa! Sasa angalia ujinga wake ndio unammaliza!

udini unakusumbua wewe. Mbona alishawaomba msamaha na mkamsamehe. je Bush nsi kichaa alimtoa Saddaam.
 
Ntagunga umenena (wanasemaga nipe tano!).

Ubishi wa Gaddafi usio na mpango umemponza. Watu wengi humu jamvini wanafikiria kama unampinga Gaddafi basi wewe ni kibaraka wa wakoloni. Hilo sio swala, viongozi wabishi ka Gaddafi ni watu wa kuteketezwa tu. Hiyo ndio dawa yao! Mie nshaona kuna jamaa humu hisia na hasira zimewazidi mpaka hekima imepotea. Kisa eti Gaddafi na utawala wake wa kidikteta umeangushwa. Duhu!
Gaddafi kweli ana matatizo yake lakini sikubaliani kuwa ubishi ndio uliomponza.Kuna wangapi wapole lakini bado wakoloni hulazimisha waondoke wakipenda hivyo kulingana na maslahi yao.Unakumbuka upole wa Saddam na Taliban mbona walipigwa?.
Usidhani sote tunaohuzunika kuangushwa kwa Ghadafi kuwa tunampenda yeye nafsi yake bali tumechukizwa na mbinu na sababu zilizotumika kumuondoa.Hiyo hatari tumeiona inanyemelea mataifa mengi duniani jambo ambalo dunia itakuwa mbaya kwetu sote pamoja na wewe Askari.
 
asiyeona mabovu ya Gadaff ana uzandiki, umimi =AFRICANISM?
how come rais anawashambulia raia kwa makombora na vifaru ili asitoke madarakani??
kama aliipenda Libya angewakubalia wanainchi kuondoka na sii kuleta ubishi kisa jeshi lake
 
Naomba wenye kujua siasa za Libya,wanijuze hutyu jama hivi leo CNN,BBC nk wanamuita Dikteta amefanya makosa yapi hadi amepigwe kiasi hiki.
naomba majibu kama matatu ambayo yanafanya asitahili anachopata hivi sasa.
Kama hujui makosa ya Gaddafi, tueleze kwanza umri wako. Inawezekana kabia wakati anfadhili uaidi hap duniani ulikuwa haujazaliwa
 
<font size="4"><font color="#800000"><b>Makosa ya Gadafi ni sawa na makosa anayofanya JK kuwadhulumu walipa kodi wa nchi hii haki yao, kushirikiana na wageni kupora rasilimali za nchi hii, Kujilipa mwenyewe makampuni yake ya siri kama Dowans, kuwalinda Mafisadi wenzake, Mkapa , EL, Chenge, RA na kuwalea wauza unga. Need I say more ..... .... . ..</b></font></font>
<br />
<br /

Huu ni ukweli mtupu usioweza kupingika hata kwa mlungula wa aina yoyote ile!
Ukiongezea ukigeugeu na unafiki wa JK ndo kabisa.
 
Muamar Gaddafi ameondolewa na raia wa Libya waliochoka na maisha waliyokuwa wakiishi ya umaskini,
kweli wewe unaongea usilo lijua, libya hakukuwa na masikini chini ya utawala wa gadaff, sasa sijui hao maskini unao wasema wewe wamehamia toka tanzania au wasema masikini gani
 
Muamar Gaddafi ameondolewa na raia wa Libya waliochoka na maisha waliyokuwa wakiishi ya umaskini,
kweli wewe unaongea usilo lijua, libya hakukuwa na masikini chini ya utawala wa gadaff, sasa sijui hao maskini unao wasema wewe wamehamia toka tanzania au wasema masikini gani
Acha upuuzi wewe na mawazo mgando,unasema Libya hakukuwa na masikini katika utawala wa gadaff?,je unafahamu ni nani anayeitwa masikini kwa defn ya kimataifa?,Mimi nimesoma Libya,masikini walikuwapo wengi tu na wataendelea kuwepo tu,hakuna nchi hata moja ya kiafrica isiyokuwa na watu masikini,kinachotofautisha nchi moja na nyingine ni idadi ya hao masikini,yamkini ni kweli masikini waliopo Libya wasiwe wengi ka hapa Tz,lkn wapo wengi tu.
 
ukiijua story ya libya vizuri utalia kwa uchungu, kama ni waasi mtoto wa gadafi asingeweza kutoka nje na akazungumza na waandishi wa habari wa kigeni ambao wapo kwenye mji ambao wenyewe wanaandika habari kuwa umechukuliwa na waasi. Mungu awalaaani wazunu .......

kosa kubwa zaidi ambalo gaddaffffffi amelifanya na kuwafanya Wazungu waimtoe madarakani ni sababu aliimsaidia idd amin kuishambulia tanzania. Long live nato
 
asiyeona mabovu ya Gadaff ana uzandiki, umimi =AFRICANISM?
how come rais anawashambulia raia kwa makombora na vifaru ili asitoke madarakani??
kama aliipenda Libya angewakubalia wanainchi kuondoka na sii kuleta ubishi kisa jeshi lake

Gadafi kawapiga wanchi wake. je nchini mwako hamjawahi kuwapiga wancnhi mbaki madarakani? Usipokuwa na uchaguzi wa nani rafiki utaishia kuwa mtumwa tu. maana wakishachukua wese watasema Rebels hawafai na utasema NATO wako sawa. Yuko wapi Savimbi, Tayrlor na wengineo ambao walikuwa marafiki wa NATO baada ya kazi kumaliziak yao wameburuzwa?. Kama ukitaka kuwa safe play like mandela who was an enemy of the west till last year when they recognized him.
 
Acha upuuzi wewe na mawazo mgando,unasema Libya hakukuwa na masikini katika utawala wa gadaff?,je unafahamu ni nani anayeitwa masikini kwa defn ya kimataifa?,Mimi nimesoma Libya,masikini walikuwapo wengi tu na wataendelea kuwepo tu,hakuna nchi hata moja ya kiafrica isiyokuwa na watu masikini,kinachotofautisha nchi moja na nyingine ni idadi ya hao masikini,yamkini ni kweli masikini waliopo Libya wasiwe wengi ka hapa Tz,lkn wapo wengi tu.

Leta statstics za umaskini wa walibya ukilinganisha na watanzania. Huduma za kiafya shule nk.
 
Back
Top Bottom