masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Ndiyo maana hamuendelei!Sisi wengine tuna wivu sana kwa wake zetu aisee.
Sijajua first gentleman wetu kama kaiona hii picha au hajaiona na kama kaiona kaitafsiri vipi!
View attachment 2205857
Badala ya kufikiria fursa wewe unawaza yasiyokuingizia kitu.