mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Hodi wana JF
Pengine mimi si mtaalam sana wa IT, lakini wakati hizi Fibre Optic network cables zilipokuwa zinatandazwa tuliahidiwa kuwa mawasiliano ya internet yangekuwa na kasi zaidi na tena bei zingekuwa chini.
Cha ajabu ni bei za modem tu ndio zimeshuka; Internet eg 1 GB or 2 GB for 40,000 a month is still expensive na spidi za connection ni ndogo mno hata kwa ile mitandao inayotomia CDMA-EVDO (TTCL, ZANTEL) ambayo tulitarajia iwe na unafuu ndio kwanza inachechemea.
Huwezi kuwasiliana clear kwa voice ni ishu (Vodacom mpo?) na message hutumia hata masaa matatu (Tigo) kabla ya kuwa delivered huku bundle inayodaiwa kuwa the cheapest (Airtel at 2500/- a month for 400mb) imebaki kuwa mwanasesere maana inaweza kufungua Google page pekee na kwa watumiaji wa Gmail utafanikiwa tu kuona mail listing lakini kufungua message nzima itakuchukua nusu saa.
Hivi masanduku ya posta bado yapo? maana naona Barua zinaanza kuwa fasta sasa kuliko email.
Pengine mimi si mtaalam sana wa IT, lakini wakati hizi Fibre Optic network cables zilipokuwa zinatandazwa tuliahidiwa kuwa mawasiliano ya internet yangekuwa na kasi zaidi na tena bei zingekuwa chini.
Cha ajabu ni bei za modem tu ndio zimeshuka; Internet eg 1 GB or 2 GB for 40,000 a month is still expensive na spidi za connection ni ndogo mno hata kwa ile mitandao inayotomia CDMA-EVDO (TTCL, ZANTEL) ambayo tulitarajia iwe na unafuu ndio kwanza inachechemea.
Huwezi kuwasiliana clear kwa voice ni ishu (Vodacom mpo?) na message hutumia hata masaa matatu (Tigo) kabla ya kuwa delivered huku bundle inayodaiwa kuwa the cheapest (Airtel at 2500/- a month for 400mb) imebaki kuwa mwanasesere maana inaweza kufungua Google page pekee na kwa watumiaji wa Gmail utafanikiwa tu kuona mail listing lakini kufungua message nzima itakuchukua nusu saa.
Hivi masanduku ya posta bado yapo? maana naona Barua zinaanza kuwa fasta sasa kuliko email.