dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
Mfano
Mtu umebuni bidhaa yako,lazima utatafuta wakala ambaye ataichukua kwako kwa gharama fulani na yeye ataenda kuisambaza, kuiuza, kwa gharama flani ili apate faida... Vile vile yule atakayeipata kwa wakala flani nae anaweza kuidalali kwa mwingine ili apate faida flani... Ndio utakuta brand ile inasambaaa kwa binadamu
Sasa ilikuwaje kwa ishu ya pesa.... Ilisambaaa vp
Mtu umebuni bidhaa yako,lazima utatafuta wakala ambaye ataichukua kwako kwa gharama fulani na yeye ataenda kuisambaza, kuiuza, kwa gharama flani ili apate faida... Vile vile yule atakayeipata kwa wakala flani nae anaweza kuidalali kwa mwingine ili apate faida flani... Ndio utakuta brand ile inasambaaa kwa binadamu
Sasa ilikuwaje kwa ishu ya pesa.... Ilisambaaa vp