asha ngedere
Member
- Nov 6, 2009
- 92
- 11
Jamani ndugu zangu, mimi napenda kuuliza kama EWURA, yaani mamalaka ya kudhibiti matumizi ya maji na nishati, ni shirika la binafsi au liko chini ya serikali. hii ni kwa sababu ya taarifa fulani ambazo niliwahi kuzisikia kwamba wanaoliongoza wanajineemesha kwa safari nyingi za nje. samahani kama nitakuwa nimepitwa na wakati, lakini kuuliza ndiko kujua, ati!