Kifungo cha nje na kutokuruhusiwa kutoka nchini..Naona kama vile kesi hii iko serious kabisa
Ama watampatia uCL hapo gereza la Kisongo ama hata Butimba
Ila anasagwasagwa na machineMjumbe hachinjwi
Kwani alinyongwa huyu mwambaSaddam Hussein hakuamini kama atanyongwa