Hivi elimu ina nafasi gani katika kuoa na kuolewa?

Asanteni sana kwa point zenu. Nakubaliana nanyi kutokana na niliyoyaona kupitia wazazi wangu pia. Baba ana masters, mama ni std 7 lakini baba alikuwa anamuogopa na haelewani na mama sababu hata kama hakuweza kujiendeleza kimasomo, alikuwa na akili za kujituma hata kama baba alikuwa hampi support. Nawapenda wazazi wangu wote, lakini ingekuwa sio mama nisingesoma ingawa baba alikuwa analipia kiasi fulani ada, ikija kwenye pango na pesa ya chakula anachelewesha au anaweza kukuambia pesa hakuna. Lakini ndugu zake wakiita pesa zinapatikana. Mama alifanya juu chini kuhakikisha pesa zinapatikana on time ili nisipoteze chumba wakati nipo chuo.

Hata mimi najiuliza mama angekuwaje kama angeenda mpaka from 6 au hata chuo. Her potential is fantastic and she is the strongest person I know. She is my role model.

My point is, elimu ni ukombozi wa mwanamke. Anaesema wanawake wenye elimu wana jeuri ni wale wanaume wasiopenda kuhojiwa na wake au wapenzi wao. Wewe kama mwanamme huwezi ukasema hutamsomesha mtoto wako wa kikei ili awe mke bora kwa atakaemuoa.






Tatizo sio elimu wala wanawake wasomi, tatizo ni wanaume waliosoma bado hawajaelimika. Wanaume wasomi wanataka wanawake wasiosoma kwa kuwa wanakubali kukanadimizwa. Wanaume hawataki mawazo mbadala toka kwa wake zao. Wanataka wafanye watakavyo bila kuhojiwa na mke wake. Mke aliyeelimika ni lazima atataka ufafanuzi kwa kila jambo linalofanyika ndani ya familia. Iwapo majibu hayataridhisha hata kubali, hapo ndiyo mwanzo wa migogoro.
Elimu humfanya mwenye kuelimika kujiamini zaidi katika maisha, pia kipato pia mfanya mtu kuwa huru na kujiamini. Wanaume wanataka mtu anayemtegemea kwa pesa na amwawazo ili waendeleze mfumo dume. Wanaume wengi ni madikiteta. Wakiweza wanataka wadikteti hata watoto wazaliwe wangapi na kwa nafasi gani.
Kama mambo kama haya hawawezi kuyapata kwa wasomi, basi wakoradhi kuoa hata asiyesoma kabisa. Ukiangalia Maprofesa wengi wameoa wasiofikia kiwango chao cha elimu ikiwezekana anaoa asiyesoma kabisa ambaye atamsujudia kama mume, chanzo cha uchumi, mweneye mawazo pevu na msomi kuliko wote kwenye familia. Hawezi kuulizwa lolote.
Siyo elimu peke yake lakini pia wanaume wanaogopa kuoa mke mwenye kipato kikubwa kuliko yeye. Sababu ni ileile kwamba anakuwa amepunguza utegemezi kwa mume. kutomtegemea mume kunatafsiriwa kama kujivuna. Kuwa tegemezi kunakunyima uhuru. Angalia nchi maskini kama Tanzania, zinazotegemea nchi tajiri hazina ubavu wa kukataa lolote linalosemwa na mtoa misaada. Malawi kwa mfano: ilikataa ndoa za jinsia moja hadi ikawafunga wanaume wawili waliooana, lakini Uingereza ilipinga uamuzi wa mahakama ya Malawi. Kwa kuchelea kunyimwa misaada serikali ya Malawi iliwaachia huru.
Hali kadhalika mwanamke asiyemtegemea mume kwa kila kitu anaonekana tishio kwa mume dikteta






aise haya mambo yana umuhimu wake kama watu wenyewe walivyoelewana. Kwa kizazi cha leo maisha ni tofauti na zamani. Ngoja nikwambie, dingi yangu alikuwa mtumishi na mama akawa mkulima. Dingi alikuwa mkware sana kwani pesa yake nyingi alitumia kunywa na wanawake. Alifika hatua hata kutusomesha hataki. Aise nilipata shida sana lakini chakula kilikuwepo cha kutosha familia. Kuna wakati nililaumu kutosoma kwa mama japo kutuwezesha kwa ada. Ilinibidi nifanye vibarua ili kukidhi ada, na mahitaji mengine thanks God i was clever shule haikunisumbua. Niliapa kwamba sitaweza kuassociate na mtu ambaye hana mwanga na maisha ya sasa. Sisemi kwamba hawafai lakini tafuta mtu ambaye chemistry itakaa vizuri. Ko always nimekuwa sijihusishi na wasichana ninaoona hatutaendana. Onyo: usivamie wasomi kama chemistry haiendani.
 
Tatizo sio elimu wala wanawake wasomi, tatizo ni wanaume waliosoma bado hawajaelimika. Wanaume wasomi wanataka wanawake wasiosoma kwa kuwa wanakubali kukanadimizwa. Wanaume hawataki mawazo mbadala toka kwa wake zao. Wanataka wafanye watakavyo bila kuhojiwa na mke wake. Mke aliyeelimika ni lazima atataka ufafanuzi kwa kila jambo linalofanyika ndani ya familia. Iwapo majibu hayataridhisha hata kubali, hapo ndiyo mwanzo wa migogoro.
Elimu humfanya mwenye kuelimika kujiamini zaidi katika maisha, pia kipato pia mfanya mtu kuwa huru na kujiamini. Wanaume wanataka mtu anayemtegemea kwa pesa na amwawazo ili waendeleze mfumo dume. Wanaume wengi ni madikiteta. Wakiweza wanataka wadikteti hata watoto wazaliwe wangapi na kwa nafasi gani.
Kama mambo kama haya hawawezi kuyapata kwa wasomi, basi wakoradhi kuoa hata asiyesoma kabisa. Ukiangalia Maprofesa wengi wameoa wasiofikia kiwango chao cha elimu ikiwezekana anaoa asiyesoma kabisa ambaye atamsujudia kama mume, chanzo cha uchumi, mweneye mawazo pevu na msomi kuliko wote kwenye familia. Hawezi kuulizwa lolote.
Siyo elimu peke yake lakini pia wanaume wanaogopa kuoa mke mwenye kipato kikubwa kuliko yeye. Sababu ni ileile kwamba anakuwa amepunguza utegemezi kwa mume. kutomtegemea mume kunatafsiriwa kama kujivuna. Kuwa tegemezi kunakunyima uhuru. Angalia nchi maskini kama Tanzania, zinazotegemea nchi tajiri hazina ubavu wa kukataa lolote linalosemwa na mtoa misaada. Malawi kwa mfano: ilikataa ndoa za jinsia moja hadi ikawafunga wanaume wawili waliooana, lakini Uingereza ilipinga uamuzi wa mahakama ya Malawi. Kwa kuchelea kunyimwa misaada serikali ya Malawi iliwaachia huru.
Hali kadhalika mwanamke asiyemtegemea mume kwa kila kitu anaonekana tishio kwa mume dikteta

Mkuu, kula tano kwanza.
Mtundiko wako umemaliza kila kitu.

Kwa kuongezea tu wanaume wengi (hata awe msomi) huwa na inferiority complex mbele ya wanawake wasomi au hata wenye kipato kuwazidi wao.
Men..., you need to change.., marriage is about sharing responsibilities and loving each other!! Sio kuwaza nani ana kisomo au mshahara mkubwa zaidi ya mwenzake!
 
sizani kama hapa dunian kunakitu kilicho na faida kikakosa hasara ndivyo ilivyo hata katika mapenzi njombaaa
 
Tatizo sio elimu wala wanawake wasomi, tatizo ni wanaume waliosoma bado hawajaelimika. Wanaume wasomi wanataka wanawake wasiosoma kwa kuwa wanakubali kukanadimizwa. Wanaume hawataki mawazo mbadala toka kwa wake zao. Wanataka wafanye watakavyo bila kuhojiwa na mke wake. Mke aliyeelimika ni lazima atataka ufafanuzi kwa kila jambo linalofanyika ndani ya familia. Iwapo majibu hayataridhisha hata kubali, hapo ndiyo mwanzo wa migogoro.
Elimu humfanya mwenye kuelimika kujiamini zaidi katika maisha, pia kipato pia mfanya mtu kuwa huru na kujiamini. Wanaume wanataka mtu anayemtegemea kwa pesa na amwawazo ili waendeleze mfumo dume. Wanaume wengi ni madikiteta. Wakiweza wanataka wadikteti hata watoto wazaliwe wangapi na kwa nafasi gani.
Kama mambo kama haya hawawezi kuyapata kwa wasomi, basi wakoradhi kuoa hata asiyesoma kabisa. Ukiangalia Maprofesa wengi wameoa wasiofikia kiwango chao cha elimu ikiwezekana anaoa asiyesoma kabisa ambaye atamsujudia kama mume, chanzo cha uchumi, mweneye mawazo pevu na msomi kuliko wote kwenye familia. Hawezi kuulizwa lolote.
Siyo elimu peke yake lakini pia wanaume wanaogopa kuoa mke mwenye kipato kikubwa kuliko yeye. Sababu ni ileile kwamba anakuwa amepunguza utegemezi kwa mume. kutomtegemea mume kunatafsiriwa kama kujivuna. Kuwa tegemezi kunakunyima uhuru. Angalia nchi maskini kama Tanzania, zinazotegemea nchi tajiri hazina ubavu wa kukataa lolote linalosemwa na mtoa misaada. Malawi kwa mfano: ilikataa ndoa za jinsia moja hadi ikawafunga wanaume wawili waliooana, lakini Uingereza ilipinga uamuzi wa mahakama ya Malawi. Kwa kuchelea kunyimwa misaada serikali ya Malawi iliwaachia huru.
Hali kadhalika mwanamke asiyemtegemea mume kwa kila kitu anaonekana tishio kwa mume dikteta
Sio kweli kwamba wanaume ndio wenye matatizo peke yao, wapo wanawake wasomi wanaoshindwa kuitumia elimu yao vizuri kujenga ndoa na familia, wanakuwa ni wabinafsi wanataka kumili mali zao wenyewe ndani ya ndoa, hawataki majukumu ya umama au mke hawathamini mume kwakua wanakipato wanaona mume kwao sio kitu muhimu sana, wanakuwa wajuaji, wanakua na tamaa sana, hawa wengi niwale wanaotoka kwenye familia maskini sana na ambazo hazina wasomi na wengine ni wale waliolelewa na mama tu, na mama huyo alikuwa na wanaume tofauti tofauti. Ila wapo wanawake wasomi wanaotumia elemu yao vizuri kujenga ndoa na familia, hawa wanatoka kwenye familia zenye elimu na wamelelewa na wazazi wote, au familia za watu wanaomcha Mungu.
 
wengi wamezungumzia upande wa dunia lakini upande wa biblia na korani hawataki matokeo yake ndio hayo ooh bora nikae peke yangu baba ndio kichwa cha familia bila kujali anaelimu ipi,usomi unatakiwa kuishia mlangoni na kinyume chake kwa sababu hamtaki baba awe kichwa mungu anawapa laana haya kesho jumapili ya 2 ya kwaresima twendeni tukasikilize neno la mungu
 
wengi wamezungumzia upande wa dunia lakini upande wa biblia na korani hawataki matokeo yake ndio hayo ooh bora nikae peke yangu baba ndio kichwa cha familia bila kujali anaelimu ipi,usomi unatakiwa kuishia mlangoni na kinyume chake kwa sababu hamtaki baba awe kichwa mungu anawapa laana haya kesho jumapili ya 2 ya kwaresima twendeni tukasikilize neno la mungu
Si kweli kuwa elimu inatakiwa kuishia mlangoni. Unapoishi na mke au mume utakiwa kumfahamu mwenzi wako. Hii ni elimu ya saikolojia. Ukiiacha elimu hutamjua mwenzi wako anahitaji nini na nini hahitaji. Mwanzoni mwa ndoa yangu sikujua kwanini mke wangu hawi kama mimi. Nikasoma kitabu ' Mapendo Yetu Kwa Ya Kikristo' Kimeandika na Padre akishirikiana na Sister. Sura ya kwanza ya kitabu hiki anaelezea tofauti kati ya mwanamke na mwanaume. Hapa nilijifunza mambo mengi yaliyonisaidia kuishi maisha ya ndoa mpaka sasa nina miaka 31 ya ndoa.
Sasa unapoiacha elimu mlangoni sijui unazungumzia elimu ipi.
 
Back
Top Bottom