nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Saalam!
Nimekuwa nikijiuliza Sana juu ya gharama watanzania Kama taifa kugharimia viongozi wa juu wanapomaliza muda wao wa kuliongoza taifa.
Ni gharama kubwa Sana, ukizingatia siyo wachache na watazidi kuongezeka.
Wajuzi wa mambo nisaidieni, huu ni utaratibu wa dunia nzima, na Kama siyo kwanini tusiubadiri ili kutupunguzia mzigo wa kuwalea watu ambao
1. Walikuwa watumishi wa umma Kama wengine Kama haitoshi walikuwa na kipato kuliko wengine
2. Wanakuwa wanajilimbikizia Mali kuliko wengine.
3. Wanakiiunua mgongo kikubwa kuliko wengine.
Nimekuwa nikisoma mijadala mbalimbali humu hasa ya wale wanaosema Tanzania ni nchi huru haiwezi kuingiliwa na mataifa mengine kimaamuzi.
Ni vema kama huu utaratibu ni wa kidunia, kama taifa huru na masikini kwanini tusiamue kuufuta na mabilioni hayo yakaelekezwa kwenye matumizi ya serikali?
Wapewe ulinzi tu, mambo mengine wastruggle wenyewe kama wastahafu wengine.
Alipoingia Magufuli nilitazamia Angeliona hili na kulifanyia marekebisho kwakuwa alisema anauchungu na pesa za wanyonge.
Na hili alijipambanua alipokataa kwenda nje ya nchi kwa kuokoa pesa za wanyonge, lakini ninashanga kuona zikitungwa na Sheria za kuwalinda wakiondoka madarkani, kama haitoshi, misafara ya ndani tu inalighairimu taifa mamilioni ya shilingi.
Maana kila uzinduzi serikali yote inahamia hapo.
Nadhani Kuna haja ya kuyaangalia Mambo mengi kwa jicho pevu na angavu.
Karibuni
Nimekuwa nikijiuliza Sana juu ya gharama watanzania Kama taifa kugharimia viongozi wa juu wanapomaliza muda wao wa kuliongoza taifa.
Ni gharama kubwa Sana, ukizingatia siyo wachache na watazidi kuongezeka.
Wajuzi wa mambo nisaidieni, huu ni utaratibu wa dunia nzima, na Kama siyo kwanini tusiubadiri ili kutupunguzia mzigo wa kuwalea watu ambao
1. Walikuwa watumishi wa umma Kama wengine Kama haitoshi walikuwa na kipato kuliko wengine
2. Wanakuwa wanajilimbikizia Mali kuliko wengine.
3. Wanakiiunua mgongo kikubwa kuliko wengine.
Nimekuwa nikisoma mijadala mbalimbali humu hasa ya wale wanaosema Tanzania ni nchi huru haiwezi kuingiliwa na mataifa mengine kimaamuzi.
Ni vema kama huu utaratibu ni wa kidunia, kama taifa huru na masikini kwanini tusiamue kuufuta na mabilioni hayo yakaelekezwa kwenye matumizi ya serikali?
Wapewe ulinzi tu, mambo mengine wastruggle wenyewe kama wastahafu wengine.
Alipoingia Magufuli nilitazamia Angeliona hili na kulifanyia marekebisho kwakuwa alisema anauchungu na pesa za wanyonge.
Na hili alijipambanua alipokataa kwenda nje ya nchi kwa kuokoa pesa za wanyonge, lakini ninashanga kuona zikitungwa na Sheria za kuwalinda wakiondoka madarkani, kama haitoshi, misafara ya ndani tu inalighairimu taifa mamilioni ya shilingi.
Maana kila uzinduzi serikali yote inahamia hapo.
Nadhani Kuna haja ya kuyaangalia Mambo mengi kwa jicho pevu na angavu.
Karibuni