Nimekuwa nikisikia kwamba Dr.Slaa alikuwa mwanachama wa CCM na alijiunga chadema mara baada ya kushidwa kwenye kura za maon ndani ya chama kwahiyo ndo akaamua kuhamia chadema.hapa kuna maswali kadhaa ya kujiuliza.
Je angeshinda na kuwa mbunge wa ccm si mpaka leo angekuwa mwana ccm.?
Je wanajamvi hamuon mtu huyu alikuja kutafuta cheo.?
kwa nini anawashutumu watu ambao wamejiunga na chama toka wakiwa na umri wa miaka 16 na hawajawahi kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa zaid ya chadema.
Binasfi ninawasiwasi na uwanachama wa huyu mzee anaonekana kama alienda chadema kuganga njaa.
Je angeshinda na kuwa mbunge wa ccm si mpaka leo angekuwa mwana ccm.?
Je wanajamvi hamuon mtu huyu alikuja kutafuta cheo.?
kwa nini anawashutumu watu ambao wamejiunga na chama toka wakiwa na umri wa miaka 16 na hawajawahi kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa zaid ya chadema.
Binasfi ninawasiwasi na uwanachama wa huyu mzee anaonekana kama alienda chadema kuganga njaa.