Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Wana Jamvi,
Kwa mujibu wa Ratiba niliyonayo ya ZIARA ya Babu SLAA kukagua uimara wa CHADEMA, inaonesha kuwa leo yupo Sikonge, Tabora. Tumeshuhudia akiwa kule Kigoma mbwembwe zilikuwa nyingi zilizoambatana na picha za kutengeneza kwa lengo la kumbeba babu slaa. hata watu walipowashtukia na kubainisha ukweli huku picha halisi zikiwekwa ambazo zilitawaliwa na mabango ya kumpinga, watu kama akina Yeriko Nyerere bila ya mishipa ya aibu waliibuka na kusema kuwa mtandao ulikosea kutuma picha zile.
Nawasilisha.
cc: Molemo, Mohamed Mtoi, Kurugenzi ya Habari, Michael Aweda, Yeriko Nyerere na Ben Saanane
Kwa mujibu wa Ratiba niliyonayo ya ZIARA ya Babu SLAA kukagua uimara wa CHADEMA, inaonesha kuwa leo yupo Sikonge, Tabora. Tumeshuhudia akiwa kule Kigoma mbwembwe zilikuwa nyingi zilizoambatana na picha za kutengeneza kwa lengo la kumbeba babu slaa. hata watu walipowashtukia na kubainisha ukweli huku picha halisi zikiwekwa ambazo zilitawaliwa na mabango ya kumpinga, watu kama akina Yeriko Nyerere bila ya mishipa ya aibu waliibuka na kusema kuwa mtandao ulikosea kutuma picha zile.
Nawasilisha.
cc: Molemo, Mohamed Mtoi, Kurugenzi ya Habari, Michael Aweda, Yeriko Nyerere na Ben Saanane