kauga JR
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 3,503
- 2,077
Jibu hili swali, kwanini unapovuna mahidi huvuni na mabua??????? Usitumie akili nying... angalizoNi ngumu kueleweka na si rahisi kutema sumu mlizomezeshwa,na kuachana na hayo yakupasa ujitoe kwa nguvu zote...
Hebu tutathimini haya,je mungu kama yupo yuko wapi au tulishawahi kumsikia wap na anafananaje fananaje?,na je ulishawahi kuona au kusikia uwepo wake mahala fulani?
Je huyu mungu wenu ni mwenye amani na mnyenyekevu kwa watu wake?,kama ni hivyo na inaaminika yeye ndo muumbaji wa kila kitu kaktk ulimwengu...
Kwanini aliumba mabaya na mema?,ni nini kilichomfanya aumbe ubaya wakati si jambo sahihi kwann asingeumba mambo ya wema tu...analeta mambo mabaya machafu yasiyo faa huu ni upuuzi kuamini kuna mungu na ni mchezo mchafu unaoendelea kuchezwa kwenye vichwa vyenu ni upuuzi,dini gank hizo zinasadiki fedha na wengine wanathubutu kulaghai mpka mikitano mikuu na kuasa kuwa mungu anatoa utajili ..
Ni ujinga na upuuzi kuamini kitu kisichokuwepo,najua hamuwez kuacha kuamini huyo mungu wenu msie mfaam..NA ASIYE KUWEPO.
View attachment 719918View attachment 719919View attachment 719920