Hivi dini ni imani au ni jina?

El, but the jurisdiction over rainfall and fertility was delegated to Baal, or Hadad. Other important deities included Resheph, lord of plague and the nether world; Kothar, the divine craftsman; Asherah, consort of El; and Astarte, goddess of fertility.

The language of the Canaanites may perhaps be best described as an archaic form of Hebrew, standing in much the same relationship to the Hebrew of the Old Testament as does the language of Chaucer to modern English. The Canaanites were also the first people, as far as is known, to have used an alphabet. In Late Bronze Age strata at the site of Lachish, archaeologists have found a form of script that is recognized by most scholars as the parent of Phoenician and thence of the Greek and Latin alphabets. They also found that a curious cuneiform alphabet was in use at Ugarit. Side by side with these innovations, however, the traditional syllabic cuneiform of Mesopotamia was regularly employed.
 
Canaan was situated at the crossroads of several cultures, and throughout its recorded history its art and literature illustrate a mixture of many elements: Egyptian, Mycenaean, Cretan, Hurrian, and Mesopotamian. Most of what is known about Canaanite religion is derived from a series of tablets discovered at Ras Shamra. The principal god was El, but the jurisdiction over rainfall and fertility was delegated to Baal, or Hadad. Other important deities included Resheph, lord of plague and the nether world; Kothar, the divine craftsman; Asherah, consort of El; and Astarte, goddess of fertility.

The language of the Canaanites
 
Kuna watu wanatafuta kufanana na waarabu. Ndio hao wanafanya assimilation, tena ukikaa vibaya nadhani wanaweza hata kujichubua na kuweka nywele relaxer ili wafananie na waarabu kabisa.

Na kuna watu wanadeal na imani hawa wanajifunza mafunzo bila kutaka uarabu. Kuna uelewa mdogo sana wa imani Tanzania watu wanafanya ili kuonekana na sio kufuata usafi wa imani husika.

Ndio maana leo usishangae mtu anatumia ile kanuni ya wake wake wanne kufanya umalaya kwa uhalali wa dini ile hali imani yake imeelekeza kwa namna tofauti sana juu ya kuwa na wake wanne.
Facts
 
Napataga kigugumizi sana nikisikia mtu kabadili dini kisha anabadilisha na jina, eti jina la Kiislam au la Kikristo.

Kwani ukibaki na jina lako na kuendelea na ibada za kumuabudu Mungu kwani haikubaliki? Nimebahatika kwenda Japan, China na Russia. Nimekuta kuna Waislaam wengi na wakristo, ila sijakuta mtu anaitwa Muhammad au William.

Kumjua mtu dini yake hadi umuulize lakini sio kwa jina. Sasa tunaomini hivyo tunakwama wapi?
Dini ni tamaduni zilizoundwa na jamii mbali mbali juu ya uongozi na utukufu wa mungu.
Adui mkubwa wa binadamu ni shetani na uwepo pale anapotajwa na kufatwa mungu. Hivyo kupitia uwezo wake aliharibu baadhi ya dini na zikatoka kwa kumuabudu mungu na kumuweka yeye mbele. Hivyo baadhi ya dini zikawa za kishetani na uo mpango wa shetani aukuishia hapo akawa anataka dini zote ni ziwe zake halafu kazi yake iwe raisi t. Kutokana na tamaduni zingine kuwa kubwa kupitia ushahidi wao wa uwepo wa mungu waliweza kupambana na ilo. Na mungu akaifanya hizo tamaduni ziwe kubla kwani ndo ukombozi wa ummah wake.
Lakini shetani akuchoka alizifata hizo tamaduni kubwa na kuzishawishi.
Je Kipindi ynaprintiwa maandiko ya dini zetu shetani akuweza kushawishi baadhi na kubatilisha maandishi? Ikiwa sasa watu wanabatilisha je karne za nyuma awakubatilisha? Je kwa ubatilishaji huu unahisi karne zijazo wanetu watakuwa na dini hii ambayo inamuongozo huu? Aya ndo majukumu viongozi kujiuliza na kupambana na changamoto kama hizi na si kubishania dini?
Pili tusiweke dini moyoni ila tuweke imani na hofu ya mungu
Kwani dini si mungu kunawatu hawamuabudu mungu lakin wanadini za kuzaliwa ukiikosoa dini atakufanyia kitu Kibaya na mnagombana lakini ukisema mungu Hakuna uongo t yeye atacheka t.
Yani ana dini lakini imani na hofu ya mungu hana.
Kuna kujua sheria na kutofata
Lkini Kuna kutoijua sheria na kuifata
Mfano
Kuzini na Mke wa mtu wapo wanaojua Adhabu yake lakini wanafanya tena wengine wanavunja ndoa na kuoa wao.
Lakini Kuna mtu ajui Adhabu yake lakini afanyi kwani Nafsi inamsuta kwake anaona ni unyama
Viongozi wa dini kazi yenu ni kulinda dini juu ya ushetani na si kumgombnia mungu.
Usisahau kulike page kwa faida yako na kushare pia kwa faida ya wengine
 
God does not exist na kwakuwa Mungu hayupo watu wa jamii hisika wanaishi kulingana na tamaduni walizozoea nyinyi mnaita dini ukiwa muislam utafata tamaduni za warabu mpk majina na ukiwa mkristo utafata tamaduni za wazungu mpk majina kwakuwa mnafata tamaduni zao hivyo Dini ni utamaduni wa jamii fulani
Si kweli,hata sasa waarabu wana tamaduni zao tofauti na uislamu na wazungu wana tamaduni zao tofauti na ukristo,hivyo huwezi kusema ukristo ndio tamaduni za kizungu au uislamu ndio tamaduni za waarabu.

Kwahiyo ni baadhi tu ya mambo ndio huingiliana na hizo tamaduni za hizo jamii.
 
Si kweli,hata sasa waarabu wana tamaduni zao tofauti na uislamu na wazungu wana tamaduni zao tofauti na ukristo,hivyo huwezi kusema ukristo ndio tamaduni za kizungu au uislamu ndio tamaduni za waarabu.

Kwahiyo ni baadhi tu ya mambo ndio huingiliana na hizo tamaduni za hizo jamii.
Tamaduni ndio zinajenga imani
 
Hata Mungu alibadili majina ya watu alipowakusudia jambo fulani, mfano Abrahamu aliitwa Ibrahimu, Sarai aliitwa Sara na Yakobo aliitwa Israeli.

Japo Mungu alikuwa hamaanishi 'dini' katika tafsiri yetu, lakini ilimpasa kubadili majina, hii ni kwa mujibu wa Biblia.
Wakati Mungu akiwabadili majina ili watumike kwa kazi nyingine kulikuwa na dini ngapi?
 
Hakuna muislamu anayemkana Masih Issa (Yesu Kristo), kinachokanwa ni uungu wake au kuwa mtoto wa Mungu, lakini waislamu wote wanaamini Masih Issa bin Maryam ni mtume wa Mwenyezi Mungu aliyezaliwa bila ya baba, aliyefufua na kuwaponya vipofu wenye ukoma na balanga kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu na aliyepaishwa kwa Mwenyezi Mungu na atarudi duniani tena kwa mara ya pili ili akamilishe kile alichokiacha.
Ukiwa na uwezo wa kutamka kwa mwanamke "pata mimba" na akapata mimba Basi mimba hiyo ni yako na wee ndiye baba wa mtoto atayezaliwa.
 
Duh..ok sijui maana ya neno imani,hebu nifundishe maana ya hilo neno.
Imani ni neno la kiarabu lenye maana kukubali jambo pasipo kuwa na ushahidi yaan unakubali jambo kwa hakika bila kuliona au kulishuhudia kwa macho yako

Hivyo basi kuna uhusiano mkubwa Kati ya imani na utamaduni

Nikisema imani namaanisha unakubali jambo fulani bila kulishuhudia that's why waislam wanafata imani ya warabu yaan wanafata kukubali utamaduni wa waarabu na utamaduni waarabu kama kuvaa kanzu au kutawadha kwa maji

Wakati wakristo wanafata imani au kukubali utamaduni wa wazungu angalia kwaanzia majina mpk mavazi
 
Imani ni neno la kiarabu lenye maana kukubali jambo pasipo kuwa na ushahidi yaan unakubali jambo kwa hakika bila kuliona au kulishuhudia kwa macho yako

Hivyo basi kuna uhusiano mkubwa Kati ya imani na utamaduni

Nikisema imani namaanisha unakubali jambo fulani bila kulishuhudia that's why waislam wanafata imani ya warabu yaan wanafata kukubali utamaduni wa waarabu na utamaduni waarabu kama kuvaa kanzu au kutawadha kwa maji

Wakati wakristo wanafata imani au kukubali utamaduni wa wazungu angalia kwaanzia majina mpk mavazi
Kwani uislamu ni nini na ukristo ni nini? Ni mavazi na majina Au?
 
Back
Top Bottom