dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,216
- 54,841
π π π π π π πMuda mwengine unamkuta kajifunga kanga tu Lakini hata afanyaje hauwezi anguka
π π π π π π πMuda mwengine unamkuta kajifunga kanga tu Lakini hata afanyaje hauwezi anguka
HahahaYan mm kama napika mboga za mm mwenyewe nachsnganya kila kitu chini mpaka chumvi, nikifunua ni kula tu.
Mambo ya sijui kitangulie hiki au hiki siwez mana chakwanza kitaungulia tu.
Dah kweli mkuuNdiyo uone ss tofaut ya mwanamke na mwanaume lol..