Kanuni za JF haziruhusu kulenga mtu moja kwa moja ila wapo wengi sana humu na wengine tumewahi kuachiana makoloni na kwenye coment nimewaona wamepita.Unge wat.tag mkuu ili wageni wamiaka hii tuwajue ma legendary tusije toka na wanawake wao
Ivi huwa humu kna couple??Habari zenu.
mwaka 2016 kulikuwa na couple humu zenye mbwembwe sana ila ghafla mwanzoni mwa 2019 zikaanza kififia na mwaka 2020 zikapotea kabsa na sasa sioni watu wakiandikiana maneno mazuri kwenye siku zao za kuzaliwa kama zamani.
kipindi hicho kila mmoja humu alikuwa na mpenzi humu,
je nini kitokea mpaka couple nyingi humu kuyeyeyuka na zilizopo zinapumlia gesi maana sioni zile amsha amsha kama za kipindi hicho.
Je ni vyuma kukaza, wengi wameachana, au ulikuwa utoto unawasumbua na sasa wamekua au zilikuwa mbwembwe zisizo na uhalisia.
wikiendi njema.
Kama haya mateja wanaokotagaCouple ndiyo nini tena
Mimi natafuta kapo humu jeiefu, ama mwenye kujua aniambie huwa zinapatikana aje hizo kapo...
Mama Dickson, niwewe ndie ulie anza kunimwaga kama uji wa dona...Mimi ndio hunitaki tena baba Dickson?
Mama Dickson, niwewe ndie ulie anza kunimwaga kama uji wa dona...
Habari zenu.
mwaka 2016 kulikuwa na couple humu zenye mbwembwe sana ila ghafla mwanzoni mwa 2019 zikaanza kififia na mwaka 2020 zikapotea kabsa na sasa sioni watu wakiandikiana maneno mazuri kwenye siku zao za kuzaliwa kama zamani.
kipindi hicho kila mmoja humu alikuwa na mpenzi humu,
je nini kitokea mpaka couple nyingi humu kuyeyeyuka na zilizopo zinapumlia gesi maana sioni zile amsha amsha kama za kipindi hicho.
Je ni vyuma kukaza, wengi wameachana, au ulikuwa utoto unawasumbua na sasa wamekua au zilikuwa mbwembwe zisizo na uhalisia.
wikiendi njema.
kabsa mambo ya online datting sawa na kubeti unaweza kutana na mdada ukatamani ukimbie au ukaishia kuzima simu.Hapo kuna mawili
Ukiona kapo ziko motomoto sana humu jeiefu, ujue hao watu hawajakutana laivu bado. Siku wakikutana na kukuta hawafanani kabisa na zile profaili pikcha wanazoweka humu mfano unakuta mdada kaweka picha ya beyonce kumbe yeye yupo kama whoopi goldberg, au mkaka kaweka picha ya will smith wakati ni kijeba kifupi, kina upara na sura kama mhogo mchungu, mahusiano huwa yanakatika ghafla na hautawasikia tena!!
Au wameshakutana na wamekulana, na kawaida watu wakishakulana ule msisimko kunakua hamna tena hapo kila mtu anaanza kutafuta sababu ya kumuacha mwenzake, atakaewahi kuipata ndio mshindi.
Mkuu tatizo la humu mwanaume anajifanya demu na mwanamke anajifanya meniHabari zenu.
mwaka 2016 kulikuwa na couple humu zenye mbwembwe sana ila ghafla mwanzoni mwa 2019 zikaanza kififia na mwaka 2020 zikapotea kabsa na sasa sioni watu wakiandikiana maneno mazuri kwenye siku zao za kuzaliwa kama zamani.
kipindi hicho kila mmoja humu alikuwa na mpenzi humu,
je nini kitokea mpaka couple nyingi humu kuyeyeyuka na zilizopo zinapumlia gesi maana sioni zile amsha amsha kama za kipindi hicho.
Je ni vyuma kukaza, wengi wameachana, au ulikuwa utoto unawasumbua na sasa wamekua au zilikuwa mbwembwe zisizo na uhalisia.
wikiendi njema.
😂😂😂😂😂Hapo kuna mawili
Ukiona kapo ziko motomoto sana humu jeiefu, ujue hao watu hawajakutana laivu bado. Siku wakikutana na kukuta hawafanani kabisa na zile profaili pikcha wanazoweka humu mfano unakuta mdada kaweka picha ya beyonce kumbe yeye yupo kama whoopi goldberg, au mkaka kaweka picha ya will smith wakati ni kijeba kifupi, kina upara na sura kama mhogo mchungu, mahusiano huwa yanakatika ghafla na hautawasikia tena!!
Au wameshakutana na wamekulana, na kawaida watu wakishakulana ule msisimko kunakua hamna tena hapo kila mtu anaanza kutafuta sababu ya kumuacha mwenzake, atakaewahi kuipata ndio mshindi.
Hapo kuna mawili
Ukiona kapo ziko motomoto sana humu jeiefu, ujue hao watu hawajakutana laivu bado. Siku wakikutana na kukuta hawafanani kabisa na zile profaili pikcha wanazoweka humu mfano unakuta mdada kaweka picha ya beyonce kumbe yeye yupo kama whoopi goldberg, au mkaka kaweka picha ya will smith wakati ni kijeba kifupi, kina upara na sura kama mhogo mchungu, mahusiano huwa yanakatika ghafla na hautawasikia tena!!
Au wameshakutana na wamekulana, na kawaida watu wakishakulana ule msisimko kunakua hamna tena hapo kila mtu anaanza kutafuta sababu ya kumuacha mwenzake, atakaewahi kuipata ndio mshindi.