dracular
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 737
- 1,036
Habari za wakati huu ndugu zangu?
Niende kwenye maada moja kwa moja
Swala la kujilinda ni la muhimu sana kwa kila mtu tena ni jambo lililo jema kabisa ila sasa hivi kwanini condom hupenda sana kudondoka mbele za watu tena wale wa heshima?
Mara ya pili na dondosha pact la condom mbele ya wazazi yaani mpaka wazazi washahisi napenda sana K .. Hii kitu ina aibisha sana sometimes. Juzi kati hapa nilimpaga mrembo mmoja kwenda kumchapa tulikuwa na kakikao ka ukoo mida flani sa nikawa natoa leso mfukoni ghafla pact la condom likadondoka chini pwaaaa!!
Tena mbele ya ukoo mzima aisee.. Ntaanza kwenda kavu kavu tu aisee maana this is too much now.
Sio kila mtu ajue unachofanya bana
Niende kwenye maada moja kwa moja
Swala la kujilinda ni la muhimu sana kwa kila mtu tena ni jambo lililo jema kabisa ila sasa hivi kwanini condom hupenda sana kudondoka mbele za watu tena wale wa heshima?
Mara ya pili na dondosha pact la condom mbele ya wazazi yaani mpaka wazazi washahisi napenda sana K .. Hii kitu ina aibisha sana sometimes. Juzi kati hapa nilimpaga mrembo mmoja kwenda kumchapa tulikuwa na kakikao ka ukoo mida flani sa nikawa natoa leso mfukoni ghafla pact la condom likadondoka chini pwaaaa!!
Tena mbele ya ukoo mzima aisee.. Ntaanza kwenda kavu kavu tu aisee maana this is too much now.
Sio kila mtu ajue unachofanya bana