Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,417
- 5,441
Utakua Dalali we we, sio kwa povu hilo....Ukiona huwapend madalali jua ulikopa na ukashindwa kulipa WAMEKUBAMBUA UKOMEEE!
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakua Dalali we we, sio kwa povu hilo....Ukiona huwapend madalali jua ulikopa na ukashindwa kulipa WAMEKUBAMBUA UKOMEEE!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona huwapend madalali jua ulikopa na ukashindwa kulipa WAMEKUBAMBUA UKOMEEE!
Sent using Jamii Forums mobile app
utakuwa unaishi dsm ambapo hupati nyumba ya kupanga mpaka upitie kwa dalali.
Elewa kuwa umeisha mchongea tayari, watamuita aeleze kipato chake ili waanze kuchukua kodi yao!?Wakuu.
Huwa namfuatilia huyu jamaa, na nimegundua anapiga pesa nyingi sana kwenye huduma zake za counselling anazozitoa.
So ningependa kujua TRA huwa wanachukua kodi kias gani kutoka kwake ?
AiseeWakuu.
Huwa namfuatilia huyu jamaa, na nimegundua anapiga pesa nyingi sana kwenye huduma zake za counselling anazozitoa.
So ningependa kujua TRA huwa wanachukua kodi kias gani kutoka kwake ?