The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Vifo vya watu 39 walioswekwa na kusimikwa kwenye trela refregirate vimetingisha vichwa vya habari duniani.
Inasadikika raia hao wanaume 30 na wanawake 9 wengi wao ni wa China na baadhi wa Vietnam walikutwa wamekufa kwenye container lililokuwa linatoka Bulgaria kupitia Ubelgiji hadi Uingereza.
Sasa najiuliza China inasifiwa kuwa nchi tajiri na yenye uchumi mkubwa hata kuzidi Marekani kwanini wananchi wake wanalia njaa na maisha magumu hadi wanahatarisha maisha yao kufika Ulaya?
Ni Taiwan na Hong Kong tu ndio Visa free kuingia Ulaya, Marekani na Australia lakini huko mainland lazima uombe Visa kwa nini ni hivi?
Kingine licha ya utajiri na uchumi mkubwa mbona wazamiaji hawajisumbui kuzamia China licha ya Visa yake kuwa rahisi?
Inasadikika raia hao wanaume 30 na wanawake 9 wengi wao ni wa China na baadhi wa Vietnam walikutwa wamekufa kwenye container lililokuwa linatoka Bulgaria kupitia Ubelgiji hadi Uingereza.
Sasa najiuliza China inasifiwa kuwa nchi tajiri na yenye uchumi mkubwa hata kuzidi Marekani kwanini wananchi wake wanalia njaa na maisha magumu hadi wanahatarisha maisha yao kufika Ulaya?
Ni Taiwan na Hong Kong tu ndio Visa free kuingia Ulaya, Marekani na Australia lakini huko mainland lazima uombe Visa kwa nini ni hivi?
Kingine licha ya utajiri na uchumi mkubwa mbona wazamiaji hawajisumbui kuzamia China licha ya Visa yake kuwa rahisi?