Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,637
- 31,135
Wazungu wanaiba kwa akili ila wizi kinyamaChina kuna njaa Kali tu.Huoni raia wake wamekamatwa wanachimba madini kiholela bila vibali?Lini ulisikia mzungu Marekani,mwingereza,mjerumani au mfaransa amekamatwa kwenye deal za kipuuzi kama hizo?Mara wachina wameshikwa na pembe za ndovu.Akili za kichina ni za mafisiem!
Kwanza wana wagawa mpigane den kukishakua hakueleweki ss wana amua kufanya yao
Wanaiba syria wanaiba iraq wanaiba libya na kwengineko