Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,612
Yupo hoindiyo amefufuka baada ya kudanganywa na Dude kuwa atamunganishia uDC wa Kisarawe.
Yupo hoindiyo amefufuka baada ya kudanganywa na Dude kuwa atamunganishia uDC wa Kisarawe.
Ohoooo!!ndiyo amefufuka baada ya kudanganywa na Dude kuwa atamunganishia uDC wa Kisarawe.
Stivi yeye maeneo yake ni kupiga hela za rambirambi tu.Yeye na Steve Nyerere
basi Dude na mwenzake wamekula pesa ya mleta mada wakamdanganya wanamfanyia mpango ateuliwe kuwa DC wa Kisarawe.Yeye na Steve Nyerere
Comrade, Mama kama hakuoni vileHata ile tenda yako ya mbege tutamtumia CC Dude!
Huyu ni WiFi yako bwashemeji.Huyo huyo bwashee!