Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Leo nimeelezwa na mzee mmoja mkongwe kwamba kabla ya mfumo wa vyama vingi vya siasa kulikuwepo chama cha mlengo wa kusaidia wachaga kama vilivyo vingine vya kikabila,kijamii na kilitwa Chaga Develompent Manifesto(CHADEMA) na kilikuwa chini ya Edwin Mtei.
Malengo yake kwamba ilikuwa ni kutaka kuendeleza kabila hiyo kwa njia moja ama nyingine.
Inaelezwa kuwa baada ya mfumo wa vyama vingi Chadema hiyo ilibadilishwa malengo na madhumuni yako kutoka cha kusaidiana na kuwa Chama cha siasa kisha kuitwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) badala ya Chaga Development Manifesto (CHADEMA).
Lakini inaelezwa na mkongwe huyo kwamba Uasisi wa CHADEMA ya kusaidiana na CHADEMA ya kisiasa uko chini ya Mtei hadi leo.
Swali:
1. Wanaokukumbuka; Je, bado Chaga Deveopment Manifesto (CHADEMA) ipo hadi leo au ndiyo iliyobadilishwa na kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).
Narudi
Malengo yake kwamba ilikuwa ni kutaka kuendeleza kabila hiyo kwa njia moja ama nyingine.
Inaelezwa kuwa baada ya mfumo wa vyama vingi Chadema hiyo ilibadilishwa malengo na madhumuni yako kutoka cha kusaidiana na kuwa Chama cha siasa kisha kuitwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) badala ya Chaga Development Manifesto (CHADEMA).
Lakini inaelezwa na mkongwe huyo kwamba Uasisi wa CHADEMA ya kusaidiana na CHADEMA ya kisiasa uko chini ya Mtei hadi leo.
Swali:
1. Wanaokukumbuka; Je, bado Chaga Deveopment Manifesto (CHADEMA) ipo hadi leo au ndiyo iliyobadilishwa na kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).
Narudi