Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 585
- 778
Ndugu zetu wana Chadema mlikuja spidi sana miezi kadhaa na kuanza kudai katiba mpya ,mitandaoni kote hashtagi #katibampya ,mpka lile jaribio kule Mwanza lilipofeli, sasa mbona kama mliwasha moto wa mabua ,Sasa hivi wimbo wa katiba mpya umegeuka kuwa bring back Mbowe,Mbowe sio gaidi,
Bila shaka pengine chama kimejaa vijana waoga na wasioweza kusimama peke yao kupigania wanachokiamini kwenda front line kwa maslahi mapana ya watanzania.
Watanzania wanatazama na wanawapima kama mnao uwezo wa kupewa nchi hii.
Bila shaka pengine chama kimejaa vijana waoga na wasioweza kusimama peke yao kupigania wanachokiamini kwenda front line kwa maslahi mapana ya watanzania.
Watanzania wanatazama na wanawapima kama mnao uwezo wa kupewa nchi hii.