Hivi CHADEMA ya 2015 na 2020 ipi yenye nguvu?

Holly Star

JF-Expert Member
Aug 25, 2018
4,316
8,013
Nimetafakari kwa kina sana, ile Chadema ya Lowasa na hii ya Lissu nikaona kwamba practically Chadema imeshajifia toka uchaguzi uishe, migogoro imekuwa mikubwa sana baina ya viongozi wakubwa kabisa wa chama sababu ya kugeukana.

Historia huwa haidanganyi kamwe. Nimeshuhudia chaguzi karibu zote tangu mfumo wa vyama vingi kuanza. Na nimeshiriki chaguzi kwa miongo 2. Tangu enzi ya kikwete kwa maana ya kupiga kura.

Kila awamu ikiingia kila chama kikuu cha upinzani hufutika na kupotea kabisa. Nlidhani hili halingetokea kwa chadema, ila naona kabisa historia imejirudia tena. Chadema sasa inapumulia mirija, kila mtu hamwamini mwenzake.
 
CHADEMA ya 2015 ilikuwa na nguvu,vitendo vilikua vingi kuliko mbwembwe kama za 2020.

Chadema ya 2020 waliacha kuweka mabango ya mgombea wakilidai"Lisu ni mgombea wa mioyo ya watu na JPM ni mgombea wa kwenye mabango"
 
CCM bhana, Chadema. Chadema. Chadema. Kila siku chadema.

Chauma, Tadea, CCK siyo vyama vya siasa? Kwann hamviongelei???
 
Nguvu ya CHADEMA 2020 wanaijua vizuri walioamuru kura za bandia na mitambo maalumu na kwanini walizuia kujipongeza kwa matokeo kishindo.
 
yaani CHADEMA ya kikwete na CHADEMA ya magufuri, hipi ina nguvu,?

teh magu alivyo wakanyaga kanyaga watanzania ,kwenye chaguzi zote anapitisha wenyeviti wa mitaa mwenyewe, madiwani wenyewe ,wabunge anawaweka mwenyewe, na yeye kajiweka wenyewe,,

yaani tz yote viongozi wote wamewekwa na magu, unafikiri wananchi hawajui kuwa hawana viongozi waliowachagua?

kumbuka chadema ni chama cha wananchi ,ccm ni chama vyombo vya dola
 
Back
Top Bottom