Hivi CHADEMA Watakuja na wimbo gani katika kampeni za mwaka huu?

CHADEMA wana kazi kubwa ya kumsafisha Lowasa. Wakati wanafanya hivyo, CCM itakuwa inanadi sera zake. Kumbuka mpaka wanazindua kampeni kesho, hawajawa na ilani ambayo wataitumia kuomba kura kwa wananchi. Kwa sasa wamepanic na wanatembelea nyota ya Lowasa ambaye kwa hakika amechoka sana
Sera zipi Ccm itazinadi zaidi ya kudanganya watu tu. Sera ambazo hazitekekezeki hatuzitaki kabisa. Ccm hata mgesema nini hampiti uchaguzi huu.
 
Kama kuna mwaka ambao CCM walishinda kwa kishindo basi na mwaka huu ni mmoja kati ya hiyo. Sababu aliyekua anaichafua CCM na kuitia dowa taswira ya CCM amekwenda kwa walio kua wanaponda.

Kikwete huko nyuma c aliingizwa na lowasa mwaka 2005.
 
Hakuna asie jua kua kilicho ipandisha CDM na kufikia hapa ilipo ni kashfa za ufisadi. Walituimbia Ufisadi 2005 wananchi hatukuwaelewa vizuri.

Wakatuimbia tena wimbo huu 2010 wananchi tukawasikia na kuipenda nyimbo yao hiyo iliyo chini ya waimbaji mahiri kama Zito kabwe na Dr. Slaa, chini ya muandaaji wao Mbowe.

Leo ni 2015 wimbo huo umechuja na haunogi tena.
Kwanza waimbaji wale wametoswa na muandaaji /mwenye bendi. Yani wameonekana sauti zao hazifai tena kuimba wimbo ule.

Alicho fanya mwenye bendi ni kumchukua yule alie beba jina la wimbo na kumpa bendi atunge chochote awezacho.

Swali langu je CDM watakuja na song gani litakalo bamba kampeni hii!?

Kwa madudu ya CCM, nyimbo zipo nyingi sana... hakuna wimbo mmoja.... ahadi zao kipindi kilichopita.. grid ya taifa songea... meri victoria... uwanja wa ndege bukoba..
Escrow stanbic bank haijatatuliwa.... Balali.... Richmond kile kipande cha kuitetemesha serikali.... hayo ni machache
 
ufisadi bado ni agenda ya muhimu ktkkuhakikisha ccm imefilia mbali!!!!


Haijalishi hata kama cdm wamemchukua lowasa, lakini wana kila haki yakuzungumzia swala la ufisadi...


Kwa sababu:-

1. serikali ya jk na ccm ndio iliyokuwaimepewa dhamana ya kuhakikisha taifa hili linaongozwa ktk misingi ya haki,usawa na uwazi, lakini walishindwa, na waliendelea kukumbatia ufisadi, kwasababu ni sehemu ya utawala wa ccm
2. ndio, lowasa ni mtuhumiwa wa ufisadi,na pia ameshiriki ktk uozo mwingi wa chama cha ccm...lakini je serikali, chiniya uongozi wa jk na ccm ulichukua hatua gani? Kuzuia ufisadi/ rushwa na menginemengi maovu ambayo lowasa alishiriki/shirikishwa??
3. serikali ikiwa na idara kama takukuru, polisi, mahakamaetc...zimefanya jitihada gani, za kuthibitisha au kukataa ufisadi uliofanywa nalowasa, kabla ya kuanza kwa michakato ya kuteuliwa kugombea uraisi....nainakuwaje leo ndio watoke kuanza kuzungumzia ufisadi wa lowasa? Je kuna watuwangapi jamii ya kina lowasa ambao mpaka sasa hivi wapo ndani ya system ambaoserikali inawatambua, au wanatambulika, ambao mpaka sasa hivi serikali na idarazake zimeshindwa kuwachukulia hatua?.
 
CHADEMA wana kazi kubwa ya kumsafisha Lowasa. Wakati wanafanya hivyo, CCM itakuwa inanadi sera zake. Kumbuka mpaka wanazindua kampeni kesho, hawajawa na ilani ambayo wataitumia kuomba kura kwa wananchi. Kwa sasa wamepanic na wanatembelea nyota ya Lowasa ambaye kwa hakika amechoka sana
Sera zipi Ccm itazinadi zaidi ya kudanganya watu tu. Sera ambazo hazitekekezeki hatuzitaki kabisa. Ccm hata mgesema nini hampiti uchaguzi huu. Watanzania wamefumbuka macho hawataki blah blah zenu tena
 
Inahitaji uso usio na haya kwa mwanachama wa ccm kukemea ufisadi. Lizbon ccm ipi unayojisifia? Tuanze hapo kwanza.
 
Song mbna nyingi tu, katba mpya, umaskini, elimu bora/mikopo kwa wanafnzi, matibabu kwa wazee na wananchi kwa ujumla, ajira na nyingine nyiiingi labda kama hawakupita bagamoyo ndo watakosa nyimbo
 

Ufisadi itakuwa moja ya agenda kubwa ambazo CHADEMA na mgombea urais wake na mgombea mwenza, wabunge na madiwani, watazizungumzia kuhitimisha utawala wa CCM kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

Kila kitu unachogusa ndani ya nchi hii chini ya utawala wa CCM ni agenda. Wananchi wanaelewa ndiyo maana wanaunga mkono mabadiliko kwa nguvu zote, linawaka au inanyesha, usiku au mchana.
Lakini #Makene mukae mukijua kua wengi wa wananchi wanaipenda ukawa.

Lakini wengi wa wapiga kura tunajua kua Matatizo yetu kama taifa hayasababishwi na CCM kama chama, bali yana sababishwa na CCM kama mfumo.

Yani kwa kifupi tatizo letu sio kubadili chama hau mtu. Tatizo letu ni mfumo uliopo. Sasa Lowasa ni sehem ya mfumo huo. Mikataba mibovu iliyo chafua taswira ya CCM na Taifa kwa ujumla, mingi yao ime sign niwa na Lowasa ambae unamtetea. Sasa je hapo tunabadili nini?

Me nadhani song lenu hilo la Ufisadi lisha chuja kabla ya uchaguzi. Na kwahakika Lowasa hana sauti nzuri ya kuimba Ufisadi. Ata mweka nani kama mhusika mkuu!?
 
Nchi yetu ina safari ndefu kupata maendeleo ya kweli, kama vijana ambao ndio tegemeo la kesho hatujui hata priorities za kitaifa nani atajua.Ni aibu kubwa unaona mtu mwenye akili timamu anaposimama mbele ya watu nakuanza kuaminisha watu kuwa kashfa zilizokuwa zikiibuliwa na CDM ni kicks tu na hazikua na msingi wowote.Hivi tutaendelea vipi kama tutaacha kuyasema wazi mabovu ili yarekebishwe???
Anyway siasa za majitaka zimesha haribu thinking zetu naona....
 

Ufisadi itakuwa moja ya agenda kubwa ambazo CHADEMA na mgombea urais wake na mgombea mwenza, wabunge na madiwani, watazizungumzia kuhitimisha utawala wa CCM kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

Kila kitu unachogusa ndani ya nchi hii chini ya utawala wa CCM ni agenda. Wananchi wanaelewa ndiyo maana wanaunga mkono mabadiliko kwa nguvu zote, linawaka au inanyesha, usiku au mchana.

Unapotosha Umma kaka, Hamna agenda mpya, mtatueleza nini watanzania? Fisadi mmemkumbatia, na kuna dalili zote kuwa amewanunua! Mtaanzaje kunyooshea vidole mafisadi? Hakika Mlikosea sana
 
malipo ni hapahapa duniani. chama wakiinue slaa na zitto halafu waje wafaidike wengine? nasema malipo ni hapahapa.

Hakuna asie jua kua kilicho ipandisha CDM na kufikia hapa ilipo ni kashfa za ufisadi. Walituimbia Ufisadi 2005 wananchi hatukuwaelewa vizuri.

Wakatuimbia tena wimbo huu 2010 wananchi tukawasikia na kuipenda nyimbo yao hiyo iliyo chini ya waimbaji mahiri kama Zito kabwe na Dr. Slaa, chini ya muandaaji wao Mbowe.

Leo ni 2015 wimbo huo umechuja na haunogi tena.
Kwanza waimbaji wale wametoswa na muandaaji /mwenye bendi. Yani wameonekana sauti zao hazifai tena kuimba wimbo ule.

Alicho fanya mwenye bendi ni kumchukua yule alie beba jina la wimbo na kumpa bendi atunge chochote awezacho.

Swali langu je CDM watakuja na song gani litakalo bamba kampeni hii!?
 
Lakini #Makene mukae mukijua kua wengi wa wananchi wanaipenda ukawa.

Lakini wengi wa wapiga kura tunajua kua Matatizo yetu kama taifa hayasababishwi na CCM kama chama, bali yana sababishwa na CCM kama mfumo.

Yani kwa kifupi tatizo letu sio kubadili chama hau mtu. Tatizo letu ni mfumo uliopo. Sasa Lowasa ni sehem ya mfumo huo. Mikataba mibovu iliyo chafua taswira ya CCM na Taifa kwa ujumla, mingi yao ime sign niwa na Lowasa ambae unamtetea. Sasa je hapo tunabadili nini?

Me nadhani song lenu hilo la Ufisadi lisha chuja kabla ya uchaguzi. Na kwahakika Lowasa hana sauti nzuri ya kuimba Ufisadi. Ata mweka nani kama mhusika mkuu!?

sidhani kama unaifahamu vizuri dhana ya mfumo! hawezi akatoka mtu mmoja kuja kubadirisha mfumo! tafakali kabla hujacoment.

CCM wana mfumo fisadi wao na CHADEMA wana mfumo usafi wao, Lowasa atabadirishwa or rather amebadirishwa na mfumo CHADEMA. Mfano ni suala la katiba,he did vote for that damn fake constitution but sasa ni.supporter wa katiba ya wananchi
 
Ccm Imeshazindua ilani yake. Hiyo ndiyo itakayotumika wakati wa kuwanadi wagombea wake kwa wananchi. Haya nyie Team Mafisadi mtakuja na swaga gani?

Tutakuja na Epa,Escrow,Madawa ya kulevya,Richmond ,Nyara za Serikali kuibiwa,Gesi Mtwara,Nyumba za serikali kufanyiwa udalali na Magufuli,Dowans,Vigogo kuchomeka watoto wao kwenye system. Wizi bandarini na kwenye mbuga za wanyama (Kinana)nk
 
Hakuna asie jua kua kilicho ipandisha CDM na kufikia hapa ilipo ni kashfa za ufisadi. Walituimbia Ufisadi 2005 wananchi hatukuwaelewa vizuri.

Wakatuimbia tena wimbo huu 2010 wananchi tukawasikia na kuipenda nyimbo yao hiyo iliyo chini ya waimbaji mahiri kama Zito kabwe na Dr. Slaa, chini ya muandaaji wao Mbowe.

Leo ni 2015 wimbo huo umechuja na haunogi tena.
Kwanza waimbaji wale wametoswa na muandaaji /mwenye bendi. Yani wameonekana sauti zao hazifai tena kuimba wimbo ule.

Alicho fanya mwenye bendi ni kumchukua yule alie beba jina la wimbo na kumpa bendi atunge chochote awezacho.

Swali langu je CDM watakuja na song gani litakalo bamba kampeni hii!?
This time around wamebamba!.
Ujue mambo ya kuchagua wanasiasa yana sababu nyingi: mapenzi tu yale yasiyo na sababu kwa mgombea, kumchagua tu ili mwingine asishinde, kupima uwezo wake, kuzingatia mahitaji ya nchi kwa wakati huo ama kupima mahitaji binafsi. Wacha wajigaragaze wachague wampendaye ni haki ya kila mtanzania.
" mchuma janga hula na nduguze"
Mkuu Madam Mwajuma , kwavile watu tumetofautiana uoni, vision, ukitokea wewe una uoni mkubwa, unaona mtu fulani ni janga, lakini kuna watu wa kwenu, wanamshabikia bila kujua ni janga, jee utawaacha tuu wachume janga, au angalau utawaonya na kuwapa angalizo kuwa huyo mnaemshabikia ni janga, mkimchagua ni sawa na mchuma janga, au utawaacha tuu wamchague wampendaye kwasababu ni haki yao ya kidemokrasia kumchagua yoyote wanayempenda hata kama ni janga?, na unajua kabisa mchuma janga hula na wakwao?.

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?!

Hili bandiko japo ni la zamani lakini hoja zake bado ni valid kwa mustakabali wa October 28, kuhusu hoja ya udikiteta, ikitokea October 28 tukachagua majanga...!, hala hala, inaweza ikaja tokea Hitler akawa ana afadhali!..

P
 
Back
Top Bottom