Hivi CHADEMA Watakuja na wimbo gani katika kampeni za mwaka huu?

Kitoabu

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
10,326
10,943
Hakuna asie jua kua kilicho ipandisha CDM na kufikia hapa ilipo ni kashfa za ufisadi. Walituimbia Ufisadi 2005 wananchi hatukuwaelewa vizuri.

Wakatuimbia tena wimbo huu 2010 wananchi tukawasikia na kuipenda nyimbo yao hiyo iliyo chini ya waimbaji mahiri kama Zito kabwe na Dr. Slaa, chini ya muandaaji wao Mbowe.

Leo ni 2015 wimbo huo umechuja na haunogi tena.
Kwanza waimbaji wale wametoswa na muandaaji /mwenye bendi. Yani wameonekana sauti zao hazifai tena kuimba wimbo ule.

Alicho fanya mwenye bendi ni kumchukua yule alie beba jina la wimbo na kumpa bendi atunge chochote awezacho.

Swali langu je CDM watakuja na song gani litakalo bamba kampeni hii!?
 
CHADEMA wana kazi kubwa ya kumsafisha Lowasa. Wakati wanafanya hivyo, CCM itakuwa inanadi sera zake. Kumbuka mpaka wanazindua kampeni kesho, hawajawa na ilani ambayo wataitumia kuomba kura kwa wananchi. Kwa sasa wamepanic na wanatembelea nyota ya Lowasa ambaye kwa hakika amechoka sana
 
Hahaa...et hawana ilani...kwikwi ...kesho subirini muone....hahaa..ila ya wananchi inakuja ..ccm ndo sijui wataleta ilani gan wakati ya 2010 hawajaifanyia kazi
 

Ufisadi itakuwa moja ya agenda kubwa ambazo CHADEMA na mgombea urais wake na mgombea mwenza, wabunge na madiwani, watazizungumzia kuhitimisha utawala wa CCM kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

Kila kitu unachogusa ndani ya nchi hii chini ya utawala wa CCM ni agenda. Wananchi wanaelewa ndiyo maana wanaunga mkono mabadiliko kwa nguvu zote, linawaka au inanyesha, usiku au mchana.
 
Haraka ya nini,subiri kampeni zianze utasikia Sera za ukawa!Hakuna haja ya kuwa na mashaka jirani atakula nini wakati si shwari kwenye familia yako!Huwezi jua lindo lake kaja na nini!
 
Ccm watakuja na agenda gani walizoshindwa kutimiza kwa zaidi ya miaka 30
Ccm Imeshazindua ilani yake. Hiyo ndiyo itakayotumika wakati wa kuwanadi wagombea wake kwa wananchi. Haya nyie Team Mafisadi mtakuja na swaga gani?
 

Ufisadi itakuwa moja ya agenda kubwa ambazo CHADEMA na mgombea urais wake na mgombea mwenza, wabunge na madiwani, watazizungumzia kuhitimisha utawala wa CCM kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

Kila kitu unachogusa ndani ya nchi hii chini ya utawala wa CCM ni agenda. Wananchi wanaelewa ndiyo maana wanaunga mkono mabadiliko kwa nguvu zote, linawaka au inanyesha, usiku au mchana.

Team dodoki.
 

Ufisadi itakuwa moja ya agenda kubwa ambazo CHADEMA na mgombea urais wake na mgombea mwenza, wabunge na madiwani, watazizungumzia kuhitimisha utawala wa CCM kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

Kila kitu unachogusa ndani ya nchi hii chini ya utawala wa CCM ni agenda. Wananchi wanaelewa ndiyo maana wanaunga mkono mabadiliko kwa nguvu zote, linawaka au inanyesha, usiku au mchana.
Kwikwikwikwikwikwiiiiiiiii! Mbona siku ya kampeni inachelewa sana? Nina hamu kusikia fisadi mkuu akiomba kura kwa kigezo cha kupambana na ufisadi. Atapata tabu sana huyu mzee. Bora hiyo ajenda msiigusie kabisa. Mtamuua mzee bure kwa pressure. By the way mwenyekiti wako Mbowe alishafunga mjadala wa ufisadi. Kwamba ni makosa kumuita mtu fisadi ilhali mahakama haijathibitisha. Hivyo hata watuhumiwa wa EPA, RICHMOND na ESCROW kwao ni watu safi
 
hatunamda wa kufanya ivyo kwaxababu hana uchafu wowote,kashfa aliyokuwa nayo imekungulika kuwa ya kikwete na familia yake uko kwao krg
natumain kuwa lowasa atabeba ushndi wa kishndo mapema mno
 
CHADEMA wana kazi kubwa ya kumsafisha Lowasa. Wakati wanafanya hivyo, CCM itakuwa inanadi sera zake. Kumbuka mpaka wanazindua kampeni kesho, hawajawa na ilani ambayo wataitumia kuomba kura kwa wananchi. Kwa sasa wamepanic na wanatembelea nyota ya Lowasa ambaye kwa hakika amechoka sana
Kama kuna mwaka ambao CCM walishinda kwa kishindo basi na mwaka huu ni mmoja kati ya hiyo. Sababu aliyekua anaichafua CCM na kuitia dowa taswira ya CCM amekwenda kwa walio kua wanaponda.
 
Song la ukwee joy to the world the Kingdom has come la laaa la laaaaa lalalalaaa lalalalaaaa lalalalala
 

Ufisadi itakuwa moja ya agenda kubwa ambazo CHADEMA na mgombea urais wake na mgombea mwenza, wabunge na madiwani, watazizungumzia kuhitimisha utawala wa CCM kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

Kila kitu unachogusa ndani ya nchi hii chini ya utawala wa CCM ni agenda. Wananchi wanaelewa ndiyo maana wanaunga mkono mabadiliko kwa nguvu zote, linawaka au inanyesha, usiku au mchana.

http://www.mayocoo.com/vote/
 
CHADEMA wana kazi kubwa ya kumsafisha Lowasa. Wakati wanafanya hivyo, CCM itakuwa inanadi sera zake. Kumbuka mpaka wanazindua kampeni kesho, hawajawa na ilani ambayo wataitumia kuomba kura kwa wananchi. Kwa sasa wamepanic na wanatembelea nyota ya Lowasa ambaye kwa hakika amechoka sana

Sera zipi hizo? zile zile ambazo zimeshindwa kutuondolea umaskini, ujinga na maradhi na kutuletea maendeleo? Kati ya CCM na UKAWA nani kapanic?

Ziko wapi pesa za Escrow, hela za marehemu Gadafi, EPA, Richmond (mamlaka ya juu) n.k...

Hatutaki wauza nyumba za serikali, wanunua vivuko vibovu, wajenga barabara mbovu, wanaovunja miradi ya watu na kusababishia harasa serikali, wanaolipa mabilioni ya madeni hewa kwa makandarasi.

Safari ya mabadiliko nje ya CCM ishaanza..
 
Hakuna asie jua kua kilicho ipandisha CDM na kufikia hapa ilipo ni kashfa za ufisadi. Walituimbia Ufisadi 2005 wananchi hatukuwaelewa vizuri.

Wakatuimbia tena wimbo huu 2010 wananchi tukawasikia na kuipenda nyimbo yao hiyo iliyo chini ya waimbaji mahiri kama Zito kabwe na Dr. Slaa, chini ya muandaaji wao Mbowe.

Leo ni 2015 wimbo huo umechuja na haunogi tena.
Kwanza waimbaji wale wametoswa na muandaaji /mwenye bendi. Yani wameonekana sauti zao hazifai tena kuimba wimbo ule.

Alicho fanya mwenye bendi ni kumchukua yule alie beba jina la wimbo na kumpa bendi atunge chochote awezacho.

Swali langu je CDM watakuja na song gani litakalo bamba kampeni hii!?

CDM ndio basi tena maana wamechezea mtaji wa chama. Kwa akili ndogo ya mbowe, eti mtaji wa siasa ni watu. Akili ya disco kweli hii. Mtaji wa siasa ni agenda unayojinasibisha nayo na kuiishi. Come on watu huletwa na agenda na kuaminika kwako. Chadema haiaminiki tena. Watanzania tuliipenda ila mafisadi wameipenda zaidi.
 
Eti ilani yenu itafungua mahakama ya rushwa.. Shame
Sisi tunafungua corona court...
Mauaji ya utata yote yaliyotokea hapa nchini.
Subiri uzinduzi ndiyo utajua singo yenyewe
 
Back
Top Bottom