Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Hii uhuni wote tuliutegemea na tulijipanga mapema. Ushahidi ukikamilika mtajua hamjui.
Ila pigo la kwanza atakalopata magufuli ni kutokutambulika kimataifa kama Rais wa Tanzania. Hii ni step yakwanza na mengine yaja.
Ila pigo la kwanza atakalopata magufuli ni kutokutambulika kimataifa kama Rais wa Tanzania. Hii ni step yakwanza na mengine yaja.