Uchaguzi 2020 Hivi CHADEMA walikuwa wanawaambia nini Wananchi wakati wa kampeni?

Sasa hivi sisi wote ni wana chama wa CCM tuna mpongeza kiongozi wa malaika na chama kwa ushindi wa 120%
 
Natamani tunyimwe misaada na wafadhili ili tuimbe wimbo mmoja.
Tanzania ni nchi huru na itajengwa na watanzania wenyewe, hiyo mindset yenu ya kuabudu neocolonialism ni moja ya sababu ya watanzania kuwaadhibu.
 
Daah watu mna majibu balaa, wajumbe walimcheka Makonda sana ila leo wamefanana.. Oooh mnabeba watu na malori, oooh mnaleta wasaniii ili muonekane mnapendea, oooh mnaleta watoto wa shule kujaza ktk kampeni, hii ndio tumeamua kulipa kiingilio cha fiesta ya CCM.
 
Magufuli na wapwa zake wanadhani wanaweza kumdhihaki Mungu mpaka unazunguzia uchaguzi wa 20125 wakati tutafanya uchaguzi mwingine tena ulio huru na wa haki kabla ya 2025. Nature inafanya kazi yake na kuna mtu anakwenda kumfuata Mkapa alikokwenda kabla ya hiyo 2025.
Hata Lema alisema haya haya mgoma haifiki 2020 lakini keshokutwa tunamuapisha...
 
Poleni sana Chadema ndio mjifunze sasa muache na siasa za uanaharakati. CCM walikuwa wanawaangalia tuu maana mtaji wao wa wanachama tuu ni USHINDI TOSHA.

HONGERA SANA CCM

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Magufuli na wapwa zake wanadhani wanaweza kumdhihaki Mungu mpaka unazunguzia uchaguzi wa 20125 wakati tutafanya uchaguzi mwingine tena ulio huru na wa haki kabla ya 2025. Nature inafanya kazi yake na kuna mtu anakwenda kumfuata Mkapa alikokwenda kabla ya hiyo 2025.
Tumeshakuzoea wewe na utopolo wako! Uchaguzi ni mpaka 2025 hakuna uchaguzi tena hapa katikati au hata Katiba ya TZ huifahamu??
 
tumeshawanyoosha full stop.
Kwa upororaji wa kijinga ulifanyika, idiot kama wewe na wapwa za Magufuli, na Magufuli mwenyewe mtakuwa mnasherehekea mkidhani mmewakomoa. Hii ni kwa sababu mko primitive kimawazo na kielimu kiasi ambacho hamuoni madhara ya ujinga mnaofanya.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa Tanzania ya Kijani imewezekana. Na hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanyika ndani ya chama chetu. Viongozi wetu wametupeleka ng'ambo kusoma ili tuendeshe chama kisayansi na kuendesha kampeni kisasa na bila jasho.

Kwenye kampeni zetu wagombea wetu kuanzia ngazi ya Urais, Ubunge na udiwani walikuwa wanahubiri maendeleo, amani, utulivu na umoja wetu. Wamehubiri nini tumefanya ndani ya miaka 5 na nini tumeahidi kufanya katika miaka 5 ijayo. Mgombea wetu wa Urais Dr Magufuli ilipobidi alikuwa anatatua kero za papo kwa papo. Kwa kifupi tuliingia ndani ya nafsi za wananchi.

Kikubwa zaidi yule tuliyemjua ni mwenzetu tulihakikisha anapiga kura na tumefanikiwa katika hilo.

Hawa wenzetu sijui walikuwa wanahubiri nini kwenye kampeni zao licha ya kujisifu walikuwa wamejaza watu na wamefanya mikutano mingi kuliko CCM (HOJA YA UONGO). Mbaya zaidi wale waliowakimbilia kwenye kampeni wamekimbia kwenye kupiga kura. Hawakujitokeza mwisho wa siku CCM tumefanikiwa mbinu zetu kwa zaidi ya asilimia 90. Sasa ni dhahiri tunaenda kukamata mihimili yote ya dola. Hivi 2025 wanasalimikaje kwa mfano.

Hii ndio CCM aliyotuachia baba wa Taifa hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbuka katibu Mkuu aliyemaliza muda wake Abdulrahman Kinana alisema CCM tuna mbinu zaidi ya 200. Mwaka 2015 tulikuja na mbinu ya BAO LA MKONO. Mwaka 2020 tumetumia mbinu ya Ujanifishaji (Tanzania ya Kijani). 2025 tutakuja na kubwa lao.

Nawasilisha
Mie nilisikia akisema walitaka kumuua lakini Mungu kamuokoa aje kuwaletea uhuru.
Ataweka madini rehani kwa wazungu ili wampe pesa, atafuta kodi zote (hakueleza angeendeshaje nchi, sijui kwa hizo pesa za wazungu?), angeongeza wafanyakazi mishahara (huku hana mapato maana kila kodi kafuta).
Atatugawanya nchi iwe kwenye majimbo, kila watu na jimbo lao wajiendeshe wenyewe akidai itakuwa bora maana mpaka RC tutampigia kura, na hivyo tutaweza kumuwajibisha. Asichojua kuwa mie mbunge wangu Halima Mdee miaka 10 ameshindwa kushirikiana na mamlaka husika kutatua shida za Kawe, akiingia na kutoka Bungeni atakavyo, kupinga kila kitu mpaka bajeti inayotoa pesa za madawa na mpaka jana nilikuwa sina uwezo/sikujua jinsi ya kumuwajibisha.
SGR, bwawa la umeme na barabara havina maana kwakuwa sio maendeleo ya watu ni ya hivyo vitu 😮. Hakujua watu wa mwisho wa reli tunaotumia siku 3 kufika home, tulivyo na usongo na hiyo SGR. Yaani unaingia Ujiji na kurudi siku hiyo hiyo?? Bado naona ndoto. Alafu yeye anasema SGR sio muhimu??? Sikumsoma kabisa.
 
Kwa upororaji wa kijinga ulifanyika, idiot kama wewe na wapwa za Magufuli, na Magufuli mwenyewe mtakuwa mnasherehekea mkidhani mmewakomoa. Hii ni kwa sababu mko primitive kimawazo na kielimu kiasi ambacho hamuoni madhara ya ujinga mnaofanya.
Si mlisema mtashinda?? Sasa tena imekuwa kuomba watu wafe?? We are done!!
 
Mie nilisikia akisema walitaka kumuua lakini Mungu kamuokoa aje juwaletea uhuru.
Ataweka madini rehani kwa wazungu ili wampe pesa, atafuta kodi zote (hakueleza angeendeshaje nchi, sijui kwa hizo pesa za wazungu?), angeongeza wafanyakazi mishahara (huku hana mapato maana kila kodi kafuta).
Atatugawanya nchi iwe kwenye majimbo, kila watu na jimbo lao wajiendeshe wenyewe akidai itakuwa bora maana mpaka RC tutampigia kura, na hivyo tutaweza kumuwajibisha. Asichojua kuwa mie mbunge wangu Halima Mdee miaka 10 ameshindwa kushirikiana na mamlaka husika kutatua shida za Kawe, akiingia na kutoka Bungeni atakavyo, kupinga kila kitu mpaka bajeti inayotoa pesa za madawa na mpaka jana nilikuwa sina uwezo/sikujua jinsi ya kumuwajibisha.
SGR, bwawa la umeme na barabara havina maana kwakuwa sio maendeleo ya watu ni ya hivyo vitu 😮. Hakujua watu wa mwisho wa reli tunaotumia siku 3 kufika home, tulivyo na usongo na hiyo SGR. Yaani unaingia Ujiji na kurudi siku hiyo hiyo?? Bado naona ndoto. Alafu yeye anasema SGR sio muhimu??? Sikumsoma kabisa.
Mdee tumeshamnyoosha tayari anapumulia mipira!!
 
Lissu yule baba muongo jamani sijapata kuona. Eti oohh nitaingiza watu barabarani nikishindwa uchaguzi. Saizi kajifungia chumbani na mke wake wanacheza YOPE.
🤣🤣🤣 We dada umejua kunichekesha aisee eti Lissu kajifungia na mke chumbani wanacheza YOPE
 
Back
Top Bottom