Hivi CHADEMA mngetoa wapi mawaziri ile 2015?

Tumia akili; hoja ni kwamba, chama kama taasisi kinalelewa na mtu binafsi. Kwa maana nyingine, mtu anakuwa na nguvu kuliko taasisi. Sasa wewe unasema CCM kinalelewa na polisi; hata hivyo unachosema hakina ukweli. Hata kingekuwa kweli, polisi ni taasisi na sio mtu binafsi, hivyo tumia mifano inayorandana na hoja.
Chama kinacholelewa na mtu mmoja kinaogopwa kwenye uchaguzi !
 
Nimeambiwa pale hakuna wa kuongoza CHADEMA kama mwenyekiti zaidi ya Mbowe! Huenda ndio maana walimkopa Lowassa toka CCM awe mgombea wao wa urais.

Najaribu kuwaza kama CHADEMA hawana tu mtu wa kuwa mwenyekiti wa chama chao,
Je, ile 2015 wangeshinda urais wangetoa wapi watu wa kuwa mawaziri na mabalozi?

Juzi nilimsikia Seif akisema yeye ndio alieilea CUF na siyo CUF kumlea Seif.

Kumbe wakati CCM mtu anaegemea kwa chama wao wapinzani chama ndio kinaegemea kwa Mtu.

Nikapata jibu kwamba, hivi vyama vya upinzani kumbe havipo kama taasisi bali ni tu vikundi vya watu flani chini ya watu flani na hao watu flani wakiondoka na hivyo vikundi ndio kwa heri.


"Jf tudumishe uhuru wa maoni ili tuwe mfano. Na kwa sababu hiyo huu uzi usiunganishwe wala kufutwa"
Hebu angalia mawaziri wa JPM uniambie ni nani wa maana kati ya hawa.

1. Kingwangala
2. Jafo
3. Huyu toka jalalani
4. Lugola!
5. Bashe!

Hivi kama hawa wamekuwa mawaziri, akina Mdee, Bulaya, Msigwa, watashindeaje? Tena mimi naona hao wa CDM wana akili zaidi ya hao wa ccm
 
Nimeambiwa pale hakuna wa kuongoza CHADEMA kama mwenyekiti zaidi ya Mbowe! Huenda ndio maana walimkopa Lowassa toka CCM awe mgombea wao wa urais.

Najaribu kuwaza kama CHADEMA hawana tu mtu wa kuwa mwenyekiti wa chama chao,
Je, ile 2015 wangeshinda urais wangetoa wapi watu wa kuwa mawaziri na mabalozi?

Juzi nilimsikia Seif akisema yeye ndio alieilea CUF na siyo CUF kumlea Seif.

Kumbe wakati CCM mtu anaegemea kwa chama wao wapinzani chama ndio kinaegemea kwa Mtu.

Nikapata jibu kwamba, hivi vyama vya upinzani kumbe havipo kama taasisi bali ni tu vikundi vya watu flani chini ya watu flani na hao watu flani wakiondoka na hivyo vikundi ndio kwa heri.


"Jf tudumishe uhuru wa maoni ili tuwe mfano. Na kwa sababu hiyo huu uzi usiunganishwe wala kufutwa"
CHADEMA ina rasilimali watu wengi tu ambao wanaweza kuwa mawaziri tatizo linakuja unapoangalia tu wabunge/madiwani kujudge taasisi nzima. On top of wabunge waliopo Rais anaweza teua wabunge hivyo angeweza teua wale CHADEMA wasio wabunge ila wasomi kina Dr marcus n.k kuwa mawaziri na kazi ingesonga mbele.

2. CHADEMA walikuwa wapiga debe wa rasimu ya warioba iliotaka mawaziri wasiwe wabunge ili wawe na uhuru wa kutekeleza majukumu bila maslahi ya chama. Hivyo mawaziri wangepatikana wazuri bila kutumia mfumo huu wa CCM wa kupata mawaziri ndani ya chama tawala ambao wengi wameprove failures.

3. CHADEMA imeunda KUB kushirikiana na CUF ambayo ina uzoefu wa kuendesha serikali ya zanzibar kwenye SUK 2010-15. Hivyo kwenye pool ya wabunge 40 wa CUF 2015 wangeweza unganisha nguvu na kuteua kutoka huko pia ili kuongeza cream ya watu makini.

4. Hata kwa serikali ya sasa bado CHADEMA imetoa viongozi wengi tegemezi serikali kuu kafulila,machali,mkumbo,mghwira,shonza,na mwita waitara. Sasa kama hao wachache wameteuliwa na mwenyekiti wa CCM ilihali kuna wanachama million 4 wa CCM waliosotea toka miaka ya 90 Je huoni CHADEMA ina hazina ya viongozi vijana??

Trust me leo hii Mbowe au Lissu akirudi CCM watapewa position nzito serikalini kma hao kina mkumbo so mpaka hapo hoja yako kuwa hakuna mawaziri upinzani haina mashiko.

NB: Hizo kauli za kusema hakuna kama Mbowe maana yake ni kwamba katika wote walio na vigezo haswaa vya kuwa mwenyekiti (ambao ni zaidi ya 10) imeonekana Mbowe ni zaidi ila haimaanishi HAKUNA kabisa wa kumrithi!! So tofautisha muktadha wa hii kauli.

Cc tindo MsemajiUkweli
 
Nimeambiwa pale hakuna wa kuongoza CHADEMA kama mwenyekiti zaidi ya Mbowe! Huenda ndio maana walimkopa Lowassa toka CCM awe mgombea wao wa urais.

Najaribu kuwaza kama CHADEMA hawana tu mtu wa kuwa mwenyekiti wa chama chao,
Je, ile 2015 wangeshinda urais wangetoa wapi watu wa kuwa mawaziri na mabalozi?

Juzi nilimsikia Seif akisema yeye ndio alieilea CUF na siyo CUF kumlea Seif.

Kumbe wakati CCM mtu anaegemea kwa chama wao wapinzani chama ndio kinaegemea kwa Mtu.

Nikapata jibu kwamba, hivi vyama vya upinzani kumbe havipo kama taasisi bali ni tu vikundi vya watu flani chini ya watu flani na hao watu flani wakiondoka na hivyo vikundi ndio kwa heri.


"Jf tudumishe uhuru wa maoni ili tuwe mfano. Na kwa sababu hiyo huu uzi usiunganishwe wala kufutwa"
Watu wapo hadi wa kusaza.
Kama mkata mauno Kangi anaweza kuwa Waziri, nini kigumu?
Jiwe anabadili kila siku kama chupi. Vilaza wengi wapo mbogamboga
 
Chama kinacholelewa na mtu mmoja kinaogopwa kwenye uchaguzi !
Sio kwamba kinaogopwa bali chenyewe kutokana na kulelewa kihuni na mtu kimekosa hata uwezo wa kujaza fomu kwa mujibu wa kanuni na maelekezo; vigezo na masharti kuzingatiwa. Muhuni usimpe nafasi
 
Kwani CCM imetoa mawaziri wangapi ambao ni kweli kweli mawaziri? Sababu wengi tunaowaona leo ni wanakamilisha idadi tu.

Ukitaka kupima vizuri angalia HOJA za mawaziri kivuli Bungeni uone moto wake, hadi Bunge Live kikafutwa kuomba pooo dadadeki.
 
Picha kamili tutaliona mwakani kwenye kusimamisha wagombea. Sio mbali.
 
Nimeambiwa pale hakuna wa kuongoza CHADEMA kama mwenyekiti zaidi ya Mbowe! Huenda ndio maana walimkopa Lowassa toka CCM awe mgombea wao wa urais.

Najaribu kuwaza kama CHADEMA hawana tu mtu wa kuwa mwenyekiti wa chama chao,
Je, ile 2015 wangeshinda urais wangetoa wapi watu wa kuwa mawaziri na mabalozi?

Juzi nilimsikia Seif akisema yeye ndio alieilea CUF na siyo CUF kumlea Seif.

Kumbe wakati CCM mtu anaegemea kwa chama wao wapinzani chama ndio kinaegemea kwa Mtu.

Nikapata jibu kwamba, hivi vyama vya upinzani kumbe havipo kama taasisi bali ni tu vikundi vya watu flani chini ya watu flani na hao watu flani wakiondoka na hivyo vikundi ndio kwa heri.


"Jf tudumishe uhuru wa maoni ili tuwe mfano. Na kwa sababu hiyo huu uzi usiunganishwe wala kufutwa"
Mkuu inshort Chadema na upinzani wa Bongo kiujumla ni kikundi cha watu walioamua kusakatonge nje ya Ccm.
 
Nimeambiwa pale hakuna wa kuongoza CHADEMA kama mwenyekiti zaidi ya Mbowe! Huenda ndio maana walimkopa Lowassa toka CCM awe mgombea wao wa urais.

Najaribu kuwaza kama CHADEMA hawana tu mtu wa kuwa mwenyekiti wa chama chao,
Je, ile 2015 wangeshinda urais wangetoa wapi watu wa kuwa mawaziri na mabalozi?

Juzi nilimsikia Seif akisema yeye ndio alieilea CUF na siyo CUF kumlea Seif.

Kumbe wakati CCM mtu anaegemea kwa chama wao wapinzani chama ndio kinaegemea kwa Mtu.

Nikapata jibu kwamba, hivi vyama vya upinzani kumbe havipo kama taasisi bali ni tu vikundi vya watu flani chini ya watu flani na hao watu flani wakiondoka na hivyo vikundi ndio kwa heri.


"Jf tudumishe uhuru wa maoni ili tuwe mfano. Na kwa sababu hiyo huu uzi usiunganishwe wala kufutwa"
Umesema katika angle moja nami wacha nitupie hili, nje ya ccm kuwa madarakani, Hakuna chama kingine chenye manpower ya kujaza nafasi zote serikalini wateuliwa wa Rais kikatiba, vuta picha tu, baraza la mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, DAS, RAS, Wakurugenzi wa halmashauri, jiji, majiji, nk.

Wakati huo huo kwakua chama kimeshika hatam lazima kada zake zote ziwe zimekamilika kwa kuwa na watu wenye weledi sio hawa waganga njaa waliopo.

Najikuta nawaza kwa sauti Ni aidha CHADEMA MSETO, CUF, TLP, TADEA, NCCR - MAGEUZI, CHA ZITTO MAGEUZI NK mbaya zaidi mseto utahitajika toka hawa hawa CCM ambao wananchi wamewakataa na kuwapa walioshinda.

HOJA YA KWAMBA SIO CCM WOTE WABIVU AU WANAUNGA MKONO YALIYIKUA YAKIENDELEA! ITAKUA DHAIFU MNO.

KWANINI?
Rais Dr. Magufuli anapambana na wanaccm wenzie ambao walikua wezi, waliolewa madaraka nk. Kama hivyo ndivyo! ipo haja gani ya kuiondoa CCM ambayo inajisafisha yenyewe ili tupate MSETO wa CHADEMA, CHA ZITTO, CUF mseto na hawa CCM tena?
 
Back
Top Bottom