MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Acha ungese weWakuu tukiachana na Uwezo wa Mbunge Zitto Kabwe ambaye anaweza kugombea Ubunge Sehemu yeyote akapata wengine ni Anonymous watahangaika sana kama Salum Mwalimu.
Nawaza kwa sauti na Kujiuliza CHADEMA hawakua na option nyingine Kinondoni hadi wakaamua kumteua Salumu Mwalimu? Hii ilikua ni dharau sana kwa wana Kinondoni Na wanastahili kuwaadhibu kama walivyofanya.
Mtu Kutokea Zanzibar anayajua vipi matatizo ya wana Kinondoni?
Mwisho Kila mtu aheshimu maamuzi ya wana Kinondoni.
Huyo sizonje wenu mbona ni wa kule kwa interahamwe