Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,419
- 2,270
Nikisema nawe ni mhuni nitakuwa nimekosea? Soma mara mbili bandiko lako na utajua kwa nini nimediriki kukuita mhuni.ACHA KUKURUPUKA wewe, Swali nimeuliza mimi, wewe unaanza kihere here chako. nimekupa na wewe kazi ya kufanya mahesabu ya AHADI ya chama chako jembe na nyundo utueleze kimahesabu kama zinatekelezeka au la. Pili zipo kwenye ilani yenu ya chama au niza mgombea wenu na si za chama. katika mchanganuo wako usisahau na ahadi ya BAJAJ 400 kama zipo ktk ilani yenu au siku mgombea wenu wakati anautubia aliona BAJAJ inapita mbele akaona ni mtaji hivyo akatoa ahadi