Hili sakata la ufisadi na ujambazi wa ESCROW uliofanywa na vigogo wa CCM, je bado wana ujasiri wa kufanya campaign?
Kwasababu. Wanajua watanzania wanaakili kama za kuku. Kuku unawatupia maindi alafu wanakufuata. Kisha unamchukua mmoja wao na kumchinja mbele yao na kumla. Chaajabu hata baadae ukiendelea kuwarushia maindi kuku wataendelea kuja.