sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,272
- 7,870
Hivi com wameshatoa tamko gani kwa huyu mbunge aliyekamatwa na silaha lukuki , au hivi vitendo ni vya kawaida ndani ya ccm, Kama kwel ccm ni chama makini kuna ulazima Wa ccm kumchukulia hatua za kichama huyu mbunge LA sivyo ataendelea kuongeza mokombokombo ndani ya chama. Nilitegemea mpaka sasa hivi spika ndugai au msemaji Wa chama bwana pole pole awe ameshaongea kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app