Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Ni suali tu ,maana huyo wa kumfanyia kampeni kwa upande wao siwaoni na hawapo ,wananchi wameshazoea kampeni za miCCM kwa muda wa miaka 40 ,ikimaanisha hawana jipya baada ya wananchi kuwaelewa longolongo zao ,unapokaribia uchaguzi mkuu ,mwaka huu watu washaisusa CCM waliobakia ni mtoto wa shangazi kwa mjomba ,utawaona mtoto kava kofia.baba shati na mama khanga za ccm.
Watu wooote wanaeenda kuwasikiliza wawakilishi wa UKAWA kwani ndio watakaowakabidhi nchi kuiongoza na si kuitawala.Wengi nimewasikia wakisema naenda kutazama ngoma tu ,sina haja ya maelezo ya wagombea wa UKAWA kwani tayari kura yangu wanayo.
CCM wameangukia pua Lowasa amewapiga chenga ya mwili.
Watu wooote wanaeenda kuwasikiliza wawakilishi wa UKAWA kwani ndio watakaowakabidhi nchi kuiongoza na si kuitawala.Wengi nimewasikia wakisema naenda kutazama ngoma tu ,sina haja ya maelezo ya wagombea wa UKAWA kwani tayari kura yangu wanayo.
CCM wameangukia pua Lowasa amewapiga chenga ya mwili.