Maajabu,
Maajabu,
Maajabu
Hawa CCM hawana aibu hata kidogo na siku mkiona amani ya nchi imetoweka sababu kubwa ni ccm.
Mnajua ccm wanawafanya vyama vingine kama watoto wadogo, ukiangalia vyama vingine vilivonyanyasika kwa miaka yote ya magufuli utawaonea huruma
CCM wao walipiga mikutano ya hadhara tena kwa kutamba, polepole na bashiru walizunguka kila uchao nchi nzima lakini vyama kama chadema walifungwa na kuzuiwa bila huruma.
Lazima ifike hatua tuwe fair nchi hii ni ya kwetu sote na tutaiacha watabaki wengine nao waishi lakini kwa mienendo ya ccm sasa inachosha inachosha na hawaifanyii haki nchi hii ndio naona kuna tatizo sehemu na pamoja na rasilimali zote ndio maana bado wananchi ni fukara na maskini.
Ngoja tuone.
Maajabu,
Maajabu
Hawa CCM hawana aibu hata kidogo na siku mkiona amani ya nchi imetoweka sababu kubwa ni ccm.
Mnajua ccm wanawafanya vyama vingine kama watoto wadogo, ukiangalia vyama vingine vilivonyanyasika kwa miaka yote ya magufuli utawaonea huruma
CCM wao walipiga mikutano ya hadhara tena kwa kutamba, polepole na bashiru walizunguka kila uchao nchi nzima lakini vyama kama chadema walifungwa na kuzuiwa bila huruma.
Lazima ifike hatua tuwe fair nchi hii ni ya kwetu sote na tutaiacha watabaki wengine nao waishi lakini kwa mienendo ya ccm sasa inachosha inachosha na hawaifanyii haki nchi hii ndio naona kuna tatizo sehemu na pamoja na rasilimali zote ndio maana bado wananchi ni fukara na maskini.
Ngoja tuone.