sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 644
Hili swala la kuchakachua matokeo waziwazi,ambalo linafanywa na ccm,(chama cha mafisadi)mwisho wake ni nini?Au wao wanafikiria kuwa kila siku ni jumamosi au jumatatu?Watanzania wa leo (2010) siyo wa 2005,na wa 2015 ndio watakuwa tofauti kabisa.:israel: