Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Tangu litokee sakata la kutekwa kwa Kibandana baadaye kuja kukamatwa kwa Kamanda Lwakatare! Kwa kweli ukifuatilia picha hii kwa kina utaona kuwa ni mpango mkakati mchafu wa serikali wa kutaka kufifisha nguvu za vyama vya siasa na kufunga midomo ya wanahabari na vyombo vyao ambao kwa kina wameamua kuielimisha jamii nini maana ya siasa za vyama vingi.
Tukiacha hilo, jambo kubwa lililostua ulimwengu ni lile la Kamanda Lwakatare kuhusishwa na UGAIDI. Kama haitoshi, kijana shupavu na msema ovyo wa CCM!! Mwiguru akaibuka na kudai kuwa mashitaka dhidi ya Lwakatare ni hakika na ushahidi wa kina juu ya jambo hilo anao na yupo tayari kuutoa mbinguni na duniani, Sasa kama ni hivyo kwa nini polisi walishindwa kuchukua ushahidi wa Mwigulu na kumtia hatiani moja kwa moja Lwakatare na badala yake wamemrundika selo kwa kipindi cha RObo mwaka pasipo kumfungulia mashtaka pamoja na wapambe kujitokeza kutoa ushahidi, Je, hii ni nini?
Tukiacha hilo, jambo kubwa lililostua ulimwengu ni lile la Kamanda Lwakatare kuhusishwa na UGAIDI. Kama haitoshi, kijana shupavu na msema ovyo wa CCM!! Mwiguru akaibuka na kudai kuwa mashitaka dhidi ya Lwakatare ni hakika na ushahidi wa kina juu ya jambo hilo anao na yupo tayari kuutoa mbinguni na duniani, Sasa kama ni hivyo kwa nini polisi walishindwa kuchukua ushahidi wa Mwigulu na kumtia hatiani moja kwa moja Lwakatare na badala yake wamemrundika selo kwa kipindi cha RObo mwaka pasipo kumfungulia mashtaka pamoja na wapambe kujitokeza kutoa ushahidi, Je, hii ni nini?