TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,730
- 21,129
Unaelewa mchezo wa siasa lakini?Wakifanya hivo ndo vizuri ili majimbo mengi yaende upinzani, maamuzi ya wajumbe yaheshimiwe
Unadhani aliyeshinda kura za maoni nyingi ndiye anaweza kushinda ubunge NO, kura za maoni siyo kigezo cha mtu kuwa/kushinda ubunge.
Mfano; Timu za mpira kwenye tatu bora, mojawapo ndiye bingwa.