johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,725
- 141,585
Wakati mwingine huwa najiuliza sana kama watanzania wana imani na upendo wa kweli kwa CCM au wanakosa tu chama mbadala kwa kuwa vilivyopo ni vibovu kuliko CCM.
Nimeshuhudia namna Waziri mkuu mh Majaliwa alivyopambana kuibua wizi ufisadi na vitendo vya uzembe uliopindukia huko Morogoro na Iringa.
Kiukweli CCM bado haijabadilika na viongozi wake wanaishi kimazoea.
Haiwezekani mtu anaenda kujenga ukumbi na bar kwenye viwanja vya shule ambayo walimu wake wengi ni wake wa viongozi na makada wa chama na CCM inaangalia tu
Hata kama manispaa iko chini ya Chadema lakini mkurugenzi na watendaji wake wako chini ya CCM na ndio waliouza eneo la shule
Johnthebaptist nimesikitishwa sana lakini ninashukuru kwa kuwa mh Rais Magufuli na mh Waziri mkuu Majaliwa wanaijua Gangilonga tangu wakiwa vijana.......eneo hilo halitaporwa.
Maendeleo hayana vyama!
Nimeshuhudia namna Waziri mkuu mh Majaliwa alivyopambana kuibua wizi ufisadi na vitendo vya uzembe uliopindukia huko Morogoro na Iringa.
Kiukweli CCM bado haijabadilika na viongozi wake wanaishi kimazoea.
Haiwezekani mtu anaenda kujenga ukumbi na bar kwenye viwanja vya shule ambayo walimu wake wengi ni wake wa viongozi na makada wa chama na CCM inaangalia tu
Hata kama manispaa iko chini ya Chadema lakini mkurugenzi na watendaji wake wako chini ya CCM na ndio waliouza eneo la shule
Johnthebaptist nimesikitishwa sana lakini ninashukuru kwa kuwa mh Rais Magufuli na mh Waziri mkuu Majaliwa wanaijua Gangilonga tangu wakiwa vijana.......eneo hilo halitaporwa.
Maendeleo hayana vyama!