data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,149
- 22,726
Hata kumsifu Mungu kwa muujiza huu mkubwa uliotokea ni nongwa.
Hivi kweli ni kweelii au naota.
Kwani kumshukuru Mungu na kulisufu jina lake kwa uponyaji huu alioufanya wa Kumuokoa Lissu itaathiri vipi mahusiano yako ewe mwana CCM na chama chako.
Kama mlitoa pole alipopata janga...ni nini kinawafanya msimshukuru Mungu kwa kumponya .
Seriiiously...!!!
Spika kwelii!!??
MUNGU ANAWAONA.
Hivi kweli ni kweelii au naota.
Kwani kumshukuru Mungu na kulisufu jina lake kwa uponyaji huu alioufanya wa Kumuokoa Lissu itaathiri vipi mahusiano yako ewe mwana CCM na chama chako.
Kama mlitoa pole alipopata janga...ni nini kinawafanya msimshukuru Mungu kwa kumponya .
Seriiiously...!!!
Spika kwelii!!??
MUNGU ANAWAONA.