Hili ndilo swali ambalo tunapaswa kujiuliza wote, mpaka CAG kutoa ripoti yake aliomba majibu ya fedha hizo na huenda hakuridhika nayo ndio maana akaliweka hili katika ripoti yake.
Inakuwaje pesa ya serikali isijulikane ilipo? Fikria umetunza pesa yako sehemu salama baadae usiikute pale, uulize kila mtu aseme hajui, moja kwa moja utajua umeibiwa.
Hivyo basi majibu tunayopewa sasa hivi alipaswa apewe CAG ambae ndie mtaalamu, na kama alipewa na hakuridhika nayo kwanini na sisi wengine turidhike nayo?
Sidhani kama ofisi ya CAG yenye wataalamu lukuki wanaweza kukurupuka kuandika kitu ambacho hakipo na hawajajiridhisha nacho, hoja ya msingi ni kwamba zip wapi trilioni 1.5 hayo mengine ni kujaribu kujikosha tu na kujifanya wakali ili kufunika mambo, na hili tulilitegemea.
Inakuwaje pesa ya serikali isijulikane ilipo? Fikria umetunza pesa yako sehemu salama baadae usiikute pale, uulize kila mtu aseme hajui, moja kwa moja utajua umeibiwa.
Hivyo basi majibu tunayopewa sasa hivi alipaswa apewe CAG ambae ndie mtaalamu, na kama alipewa na hakuridhika nayo kwanini na sisi wengine turidhike nayo?
Sidhani kama ofisi ya CAG yenye wataalamu lukuki wanaweza kukurupuka kuandika kitu ambacho hakipo na hawajajiridhisha nacho, hoja ya msingi ni kwamba zip wapi trilioni 1.5 hayo mengine ni kujaribu kujikosha tu na kujifanya wakali ili kufunika mambo, na hili tulilitegemea.