kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,631
- 5,135
Kwani uliwachagua mkuu? Hilo ni genge Fulani lililoteuliwa na tume wakisaidiana na Dr JiweTunapojiita kua tuna bunge badala ya kufanya kazi ya kuishauri na kuisimamia serikali badala yake linafanya kazi ya kuitetea serikali ni hasara kwa taifa kupoteza mabilioni ya shilingi kuwalipa mishaha...