johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,851
Nauliza tu maana inafahamika kwamba Bunge ni taasisi huru inayojitegemea.
Je, bunge letu la Dodoma lina vitega uchumi?
Je, bunge letu lina miradi yoyote ya huduma za kijamii hata kama ni kakituo ka afya tu?
Majibu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Je, bunge letu la Dodoma lina vitega uchumi?
Je, bunge letu lina miradi yoyote ya huduma za kijamii hata kama ni kakituo ka afya tu?
Majibu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!