Khaaa upewe tuzo sasa14 kwa wiki 2 itapendeza,,, kila siku 1 safi thank me later
Vest itategemea na rangi
Itategemea na shunguli gan nafanya....
Kama hainitoi jasho vest navaa siku tatu lbda iwe nyeuoe hii siku mbili tu
Hahahah mi napiga mara moja mkuu, mishe zangu juani sanaa, ivo jasho za hapa na pale,, ila kwa nyie wa viyoyozi hata siku 3 poa tu
Ndo ivoTeh teh teh
Ndo ivo
Dah,nabeba zege
Nimekuwaza tu. Si unajua mambo ya babu na mjukuu?Teh!
Sijui hata umewaza nini my dia babu
Inawezekana manake huyu mzee huwa hanywi maji...ye akisikia kiu anakunywa k vant
Muda wote kalewa
Dah! Hata wewe?Inawezekana manake huyu mzee huwa hanywi maji...ye akisikia kiu anakunywa k vant
Muda wote kalewa
Hujapata ukurutu tu?
Daah,.braza huna kingdom fungi kweli???