Hivi bomba7 ni limited bundle au unlimited?

elmagnifico

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
8,260
9,698
Juzi nlikuwa naptia thread flan nikaona mchangiaj flan anaongelea kuhusu voda kuwa wana huduma ya internet bundle ijulikanayo kama bomba7 ambayo ni elfu kum kwa wiki na akadai ni unlimited. Jana nkajiunga na hyo huduma nika dwnload game ya need for speed mst wantd ambalo lilikuwa katka 4mat ya iso kikiwa na gb 2.84, pia nika dwnload msft ofice 2010 nadhani ina mb kama 900, then kabla ya kulala nkaacha comp ina dwnload universal xp drivers ina gb 1.8 asubuh nayo nikakuta tayari yan nkafurah. Lakin pia nikakuta msg kuwa. You have reached the limit of 3g. Na kila nkijaribu fungua any page kwenye internet haifunguk ina search kwa mda mrefu lakin haifunguki. Sasa cjaelewa au iko limited
 
Ukijumlisha hizo data zinakuwa 5.6Gb sasa hiyo 3Gb inatoka wapi tena? itakuwa ni limited ndo maana uliweza kushusha vitu vyote hivyo coz unlimited hata hiyo office 2010 yenyewe ingechukua wiki kushuka huwa wanabana bandwidth sana
 
@BushBaby Limit ya 3G sio limit ya 3GB.
Wanasema ina fair use limit so nadhani 6 GB down (plus kama ulikuwa unatumia torrents nadhani unaweza ukawa umekula kama 10 total) kwa wiki sio mbaya kama fair use.
Hiyo ni bomba7 au spidi7? maana spidi ni kubwa sana umepata kwa bomba7.
 
Jamni kwa wanaotumia tigo package ya standard month ile ya elfu 45000 waakupa gb ngapi ! Au ni unlimited msaada plss soon
 
Bas nishawaela wakuu coz msg nayopata ni kwamba nimefkia limit ya 3g ambapo nime2mia 5989 mbs, nadhan inakaribia 6gb. Lakn ts fair kwa cpd na kwa mzgo wenyewe
 
ipo limited wadau ...ukiweka bomba 7 unapewa kwanza MB700 at top speed then baada ya hapo wanakushushia speed hadi 64kbps mpaka utakapomaliza mda wako (siku 7) sasa kwa spidi hiyo unaweza kudownload ukiwa unatumia download manager au torrents na pia ku surf sometimes inakuwa slow sana sometimes inatulia...
 
Jamni kwa wanaotumia tigo package ya standard month ile ya elfu 45000 waakupa gb ngapi ! Au ni unlimited msaada plss soon
 
niliunganisha bomba7 kipindi cha Ramadhani mwezi wa tisa hadi leo hii bado naitumia na nimedownload vitu vingi sana
 
wanachaji sh. ngap hiyo bomba7?
na kifurushi cha bei rahisi kwa mobile sh. ngapi voda?
 
mjomba tafadhari nielekeze nawezaje ku download hili game la need for speed most wanted?maana kila niki download inakuja fupi tu ambayo ni demo.
Juzi nlikuwa naptia thread flan nikaona mchangiaj flan anaongelea kuhusu voda kuwa wana huduma ya internet bundle ijulikanayo kama bomba7 ambayo ni elfu kum kwa wiki na akadai ni unlimited. Jana nkajiunga na hyo huduma nika dwnload game ya need for speed mst wantd ambalo lilikuwa katka 4mat ya iso kikiwa na gb 2.84, pia nika dwnload msft ofice 2010 nadhani ina mb kama 900, then kabla ya kulala nkaacha comp ina dwnload universal xp drivers ina gb 1.8 asubuh nayo nikakuta tayari yan nkafurah. Lakin pia nikakuta msg kuwa. You have reached the limit of 3g. Na kila nkijaribu fungua any page kwenye internet haifunguk ina search kwa mda mrefu lakin haifunguki. Sasa cjaelewa au iko limited
 
mjomba tafadhari nielekeze nawezaje ku download hili game la need for speed most wanted?maana kila niki download inakuja fupi tu ambayo ni demo.
mkuu siku zote ukitaka software yoyote full version nenda kwenye torrents site yoyote but zilizo maarufu ni hizi
Download music, movies, games, software! The Pirate Bay - The world's most resilient BitTorrent site
http://www.kat.ph/
humo unaweza pata software yoyote ila tu ikatkubidi uinstall hii kitu UTORRENT(search google) ka software flani hivi kadogo tu (kama 600kb hivi) ambacho ndo kanakusaidia kudownload hizo software utakazo sasa kutoka kwenye hizo site nlizokupa na nyinginezo utakazopata huko mbeleni..
 
thanx a lot,nimekupata vizuri.thanx man
mkuu siku zote ukitaka software yoyote full version nenda kwenye torrents site yoyote but zilizo maarufu ni hizi
Download music, movies, games, software! The Pirate Bay - The world's most resilient BitTorrent site
http://www.kat.ph/
humo unaweza pata software yoyote ila tu ikatkubidi uinstall hii kitu UTORRENT(search google) ka software flani hivi kadogo tu (kama 600kb hivi) ambacho ndo kanakusaidia kudownload hizo software utakazo sasa kutoka kwenye hizo site nlizokupa na nyinginezo utakazopata huko mbeleni..
 
bomba7 ni unlimited..ukipata speed ndogo ni kwa muda mfupi tuuu...ila mimi natumia hyo sana tuuu...full online in PSN na ku-download demos and gamepacks kwenye ps3 na haijakata hii week ya 3.
 
BOMBA7 ni TZS 10,000 kwa siku 7. Ni unlimited but utadownload mpaka 750MB kwa speed ya juu then baada ya hapo utadownload kwa mwendo wa 64kbps . Na pia kwa BOMBA30 ni TZS 30,000 kwa siku 30. Hii ni unlimited but unadownload mpaka 2.5GB kwa speed ya juu then baada ya hapo utadownload kwa mwendo wa 64kbps.
 
BOMBA7 ni TZS 10,000 kwa siku 7. Ni unlimited but utadownload mpaka 750MB kwa speed ya juu then baada ya hapo utadownload kwa mwendo wa 64kbps . Na pia kwa BOMBA30 ni TZS 30,000 kwa siku 30. Hii ni unlimited but unadownload mpaka 2.5GB kwa speed ya juu then baada ya hapo utadownload kwa mwendo wa 64kbps.

mkuu hiyo 64kbps ni danganya toto, inafika hadi 1mbps, kama ni 64kbps haikaii zaidi ya dakika chache
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom