Dah! Hivi bodaboda wana jema kweli? Naona mara zote wanashutumiwa wao tu na kuhukumiwa kwa mabaya ya kila aina!
Wizi, wao! uporaji, wao! uzinzi na wake za watu/wanafunzi, wao! fujo, wao! kelele mtaani/barabarani (sijui wamezifanya nini zile pikipiki zao kwenye lile bomba la kutolea moshi!), wao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.