KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,149
- 4,752
Endelea kuamini hivi hivyo ungekuwa unajua kitu kinaitwa Leadership traits hata usingebishaunamjua rajolina, wakati anachukua urais katoka kupiga disco club maana alikuwa DJ,rais anapigiwa kura na wananchi wote hapimwi kwa vigezo unavyoviongea ww. nikwambie ni hivi akija DUDUBAYA, MATONYA,AUNT EZEKIEL n.k akataka urais na akapata suport ya kutosha atakuwa raisi whether you or not. kura zikitosha tu kawa purezidaaa